haya ndiyo malezi ya kikwete kwa vijana wake. Tangia ajiingize kusaidia taifa star, kweli vijana wetu wameanza kuvuma sana . Huyu Ngasa lazima atapata wasaa wa kujulikana Ulaya kisoma mara moja. Kila la kheri Ngasaa.
haya yote yametokana na yeye kubusu jezi ya Yanga ,si unaona bahati ilivyomfikia kwa hiyo mchezaji yeyote anayetaka kwenda kucheza soka la kulipwa kwanza unatakiwa kuiheshimu yanga na kuibusu jezi yake mambo yataiva.Ngasa kacheza simba miezi 3 kapata timu nje lakini alicheza yanga 3 na azam 2 hatukuona..samatta nae alicheza miezi 3 akapata timu..hongera simba
mambo bongo kukomoana taarifa zisizo rasmi zinadai jamaa wasudani walifuata simba na dau la dola laki moja na nusu ila simba si unajua wazee wa mauzo makubwa wakadai laki mbili na nusu....inavyoelekea wajanja fulani wakawatonya kwamba yupo simba kwa mkopo basi wakaenda azam wakazungumza ndani ya saa mbili wakukubaliana........huu ni mwendelezo wa kukomoana kibongobongo maana kiuhalisia dau waliochukua dogo sana ilitakiwa wachukue dau kubwa zaidi...
MPALU aka mwanaume(mume) je ni sahihi klabu ikachukua ada ya usajili kabla ya mchezaji hajakubaliana na timu yake mpya mshahara?
SASA IKITOKEA MCHEZAJI AKAGOMA KWENDA TIMU MPYA INAKUAJE?
niyonzima naye mambo yake yaivehaya yote yametokana na yeye kubusu jezi ya yanga ,si unaona bahati ilivyomfikia kwa hiyo mchezaji yeyote anayetaka kwenda kucheza soka la kulipwa kwanza unatakiwa kuiheshimu yanga na kuibusu jezi yake mambo yataiva.
plus Simba ilifanikiwa kumalizana na Ngassa jana na kusaini naye mkataba wa miaka miwili, ambao umemfanya aondoke na zaidi ya Sh. Milioni 35, Milioni 12 akipewa taslimu na nyingine akipewa gari (Milioni 18), wakati mpenzi mwingine wa Simba amemuongezea Milioni 5.Verosa ya Rage vp atairudisha show room?
[h=5]Edo Kumwembe[/h]16 minutes ago
Mrisho Ngassa amejiunga El Marreikh kwa dola 70,000 kutoka Azam......mshahara atajijua mwenyewe!!....ikumbukwe kuwa Ngassa ni mali ya Azam sio Simba...
AZAM WANASEMA HIVI.........Azam FC leo imemuuza mchezaji wake Mrisho Halfan Ngasa kwa klabu ya El Mereikh katika majadiliano yaliyochukua takriban saa moja kwenye makao makuu ya klabu ya Azam FC na kuhudhuriwa na viongozi wa pande zote mbili.si mali ya simba?si nilisikia kalamba gari na milioni kadhaa kutoka simba?fafanua pls