mapatano yake yake yeye na na hao wasudanimshahara atajijua mwenyewe kivipi cjakuelewa mpalu
Kumbuka lakin hata azam walishaanza kuspoil mpira wake simba ndio waliomrudishaall the best mrisho khalfan ngassa.
Timu za wachawi kama simba na yanga hazikufai, ndizo zinzo spoil mpira wako
mkataba ndani ya mkataba,mkataba wake na simba unaeleza kipindi atakachokuwa nao na vinginevyo pia kuna makubalianoMPIRA WA BONGO KIBOKO .....NGASA ALIVUTA MIKWANJA SIMBA NA BADO ALIKUWA NA MKATABA NA AZAM....SIMBA WAMELIWA RB NAONA DALILI YA RB NYINGINE KUNUKIA.....Rage upo
soka la bonga utata!mkataba ndani ya mkataba,mkataba wake na simba unaeleza kipindi atakachokuwa nao na vinginevyo pia kuna makubaliano
kwa uelewa edo kumwembe hajawahi post habari ya uongo .....hata shafii ameripot iyo kituya kweli hayo?
kumbuka ni mmoja katiya wachezaji wenye magoli mengi kwa sasa starsDuuh.. Kwa zile mbio za kuwafunga wasomali..?
....ikumbukwe kuwa Ngassa ni mali ya Azam sio Simba...
Simba ilifanikiwa kumalizana na Ngassa jana na kusaini naye mkataba wa miaka miwili, ambao umemfanya aondoke na zaidi ya Sh. Milioni 35, Milioni 12 akipewa taslimu na nyingine akipewa gari (Milioni 18), wakati mpenzi mwingine wa Simba amemuongezea Milioni 5.
Katika mkataba huo wa Simba na Ngassa, mshambuliaji huyo atakuwa akilipwa Sh. Milioni 2 mshahara kwa mwezi, Milioni 1 ipo kwenye fomu ya mkataba na Milioni 1 atakuwa akiongezewa na mtu.
Usajili wa mchezaji huyo, ulikakamilishwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Hans Pop, ambaye ndiye alitoa fedha hizo na baada ya kumsainisha na kumkabidhi haki yake, ili kumuondolea usumbufu akambadilishia ‘chipu' ya simu, ili akina Seif Magari wasimpate. Simba ilifanikiwa kumalizana na Ngassa jana na kusaini naye mkataba wa miaka miwili, ambao umemfanya aondoke na zaidi ya Sh. Milioni 35, Milioni 12 akipewa taslimu na nyingine akipewa gari (Milioni 18), wakati mpenzi mwingine wa Simba amemuongezea Milioni 5.
Katika mkataba huo wa Simba na Ngassa, mshambuliaji huyo atakuwa akilipwa Sh. Milioni 2 mshahara kwa mwezi, Milioni 1 ipo kwenye fomu ya mkataba na Milioni 1 atakuwa akiongezewa na mtu.
Usajili wa mchezaji huyo, ulikakamilishwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Hans Pop, ambaye ndiye alitoa fedha hizo na baada ya kumsainisha na kumkabidhi haki yake, ili kumuondolea usumbufu akambadilishia ‘chipu' ya simu, ili akina Seif Magari wasimpate.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us