Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 20,078
- 41,572
Bila kupoteza muda
Mechi ya Leo ngao ya Jamii Kati ya Yanga na Simba
Nikiwa pangani mchana huu narudi Tanga mjini napewa taarifa hapa kuwa Yanga atapasuka vibaya sana Leo
Mpk sasahivi viongozi bado wanahaha namna ya kugeuza kipigo
Nawathibishia Leo Simba anashinda
Ewee shabiki wa Mnyama nenda na matokeo mfukoni huku tushamaliza kazi
Naaam Mimi ndo Mwamba kutoka Tanga hapa
Mashabiki wa simba mpira unachezwa uwanjani na siyo mdomoni au humu jukwaani.Bila kupoteza muda
Mechi ya Leo ngao ya Jamii Kati ya Yanga na Simba
Nikiwa pangani mchana huu narudi Tanga mjini napewa taarifa hapa kuwa Yanga atapasuka vibaya sana Leo
Mpk sasahivi viongozi bado wanahaha namna ya kugeuza kipigo
Nawathibishia Leo Simba anashinda
Ewee shabiki wa Mnyama nenda na matokeo mfukoni huku tushamaliza kazi
Naaam Mimi ndo Mwamba kutoka Tanga hapa
Sawa Baba mkubwaMashabiki wa simba mpira unachezwa uwanjani na siyo mdomoni au humu jukwaani.
Tumefanya kazi kubwa sanaKama refa ni Aragija majanga
Au sio!Tumefanya kazi kubwa sana
Tushampiga upofu🔥
Iiih.Muda ni mwalimu mzuri
Uko sahihi kabisa yaani. 😅Haya mambo ya ushabiki yalinishinda,
unakaa Kwa matarajio,kinachokuja kutokea ni Cha kuumiza moyo,
Mimi kwasasa sitaki,simba inakuua huku unajiona😁Uko sahihi kabisa yaani. 😅
Mjomba umesababisha mikeka ya watu kuchanika. Unajisikiaje huko uliko?Bila kupoteza muda
Mechi ya Leo ngao ya Jamii Kati ya Yanga na Simba
Nikiwa pangani mchana huu narudi Tanga mjini napewa taarifa hapa kuwa Yanga atapasuka vibaya sana Leo
Mpk sasahivi viongozi bado wanahaha namna ya kugeuza kipigo
Nawathibishia Leo Simba anashinda
Ewee shabiki wa Mnyama nenda na matokeo mfukoni huku tushamaliza kazi
Naaam Mimi ndo Mwamba kutoka Tanga hapa
Baba mkubwa naelekea Pangani sshv nikachukue pesa yanguMjomba umesababisha mikeka ya watu kuchanika. Unajisikiaje huko uliko?
Na mtafungwa sana na yanga awamu hii!