Ngamia 450 na Mkeo...

Ngamia 450 na Mkeo...

Avatar Myg

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2011
Posts
675
Reaction score
118
Mbunge mmoja wa Tanzania alikua akitaliitalii nchi za uarabuni akiwa ameambatana na mke wake... Mwarabu mmoja akamfuata na kumwambia, ''Niko tayari kumnunua mkeo kwa Ngamia 450''

Baada ya kimya kirefu Mbunge akamjibu ''She's not 4 sell''

Mkewe akamuuliza ''Mbona umechelewa kumjibu??''

Mbunge akamwambia, ''Nilikua natafakari jinsi ya kufikisha Ngamia 450 Tanzania''....
 
HAHAHAHAHAHAHAHA duh tehe umevunja mbavu zangu mchana huu
 
Kwani unadhani yule mkewe alichukia alizidi kumbembeleza mmewe akubali ili aishi uarabuni kasahau kwamba waarabu kwa t*go lol!!
 
ha ha haaa, huyu mbunge lazima atakuwa wa CCM, maana ndiyo huwa wana akili za hivyo.
 
Back
Top Bottom