King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,967
- 95,385
kwa maneno hayo shilole anangoma?....
Huyu msanii sijui nini kinamfanya anajiamini kiasi hiki..nimemuona akihojiwa Star Tv kipindi cha Bongo Beat hata hana wasiwasi.
Sina uhakika ila wote katembea nao yani katembea hadi na young D sawa na mwanae wa kwanza.
kizazi hiki ipo kazi wajameni