Next Week: Prof Kikwete, kuvunja baraza la mawziri

Next Week: Prof Kikwete, kuvunja baraza la mawziri

Amini usiamini, hatimae rais wetu wa Tanzania, ameamua kuvunja baraza lake la Mawaziri. stay tune..
Kuvunja baraza la mawaziri kila mwaka sio suluhisho, tatizo ni yeye, hajaligundua hilo?! Kweli ni Prof wa kichina
 
Ndio maana leo nimeona gari za manaibu waziri kibao zikielekea BAGAMOYO

KAMA NAWAONA WALEWAZEE WETU WANAVYOKULA MEEMA YA NCHI
 
Hahahaha......kuna uandishi mwingine lengo ni kupunguza attention ya viwavi kwa kuipuuza lakini taarifa unakuta ni kweli tupu......hizi swaga anazijua Pdidy .....unaweza kuandika statementi ya kipuuzi na uandishi mbovu lakini katikati yake kunakuwa na sentensi iliyokusudiwa.....hapo wanaogundua ni wachache sana.......
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mtazamo
Mtake radhi muandiishi akuna mpuuzi anaeandika y Jf Unless wanaosoma na kucomment. Nao ni wapuuzi...wapowahusika wakurekebisha usipoelewa mtu jf unaweza kuni..
Cc Pdidy
 
Mpwa mbona anaeleweka kabisahuyu
HoE

Tutafsirie kirangi
 
Hahahaha......kuna uandishi mwingine lengo ni kupunguza attention ya viwavi kwa kuipuuza lakini taarifa unakuta ni kweli tupu......hizi swaga anazijua Pdidy .....unaweza kuandika statementi ya kipuuzi na uandishi mbovu lakini katikati yake kunakuwa na sentensi iliyokusudiwa.....hapo wanaogundua ni wachache sana.......
Uko sahihi mkuu, nakumbuka kuna mlevi mmoja kwetu alikua na kawaida ya kupiga kelele akifika maeneo fulani wakati anarudi kwake.

Wengi tulikua tunampuuzia, ila wachache walijua jamaa sio pombe ila analake jambo.

Usikute mleta mada ni Kingunge ngombare Mwiru..!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana leo nimeona gari za manaibu waziri kibao zikielekea BAGAMOYO

KAMA NAWAONA WALEWAZEE WETU WANAVYOKULA MEEMA YA NCHI
Hao 'vigagula' neema ya Escrow inaelekea kuwashukia.
 
Unahisi wamesoma nyakati nini Mpwa zimenda kibao na plt zao nkajua KUNA kikao CHA manaibuwaziri nini bgmoyo
 
Mkuu mtazamo
Mtake radhi muandiishi akuna mpuuzi anaeandika y Jf Unless wanaosoma na kucomment. Nao ni wapuuzi...wapowahusika wakurekebisha usipoelewa mtu jf unaweza kuni..
Cc Pdidy

Pdidy huyu ni kichwa......ndio maana sipuuzi taarifa yake......
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom