NEWS: UDOM batch 3 imetoka tayari.

NEWS: UDOM batch 3 imetoka tayari.

Ududu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
1,020
Reaction score
556
UDOM wameachia batch 3 tayari, tembelea www.udom.ac.tz kuangalia jina lako.

Poleni mliokosa mikopo ila kusoma bila mkopo inawezekana asikutishe mtu na kumbuka ukiwa mwaka wa pili kuna uwezekano wa kuomba mkopo tena.
 
Jaman Tuongee Ukwel2 Kwb Msemakwel N Mpenz Wa Mung
 
Ni kweli yametoka kuna mdogo wangu nilimuangalizia amepata chuo hapo.
 
Sawa ndugu, ila mimi kila nikijaribu kuingia kweny website ya chuo haifunguk leo tangu mchana... Ngoja tusubir tuone na kesho... Ahsante kwa taarifa ndugu.

Mbona inafunguka sema jina na kozi nkuangalizie
 
Sawa Hapo, Mkopo Sasa Ndo Shda Wadau Wang Unazngua Vbaya Mno
 
jina benedicto domician coz guidance & councelling
 
jaman naomben msaada nina mdogo wangu alichaguliwa batch ya 3 udom lkn ktk majina yaliyotoka hayupo hiyo inamaanisha amekosa nafasi au ni vp maana hatuelew, msaada tafadhali

Aende moja kwa moja chuoni akachukue admission letter
 
Back
Top Bottom