mkjj,
lakini kwa hali ya kawaida tu kwa kiongozi kutokuwa mwaminifu kwa jamii,ni doa tosha la yeye kujiweka pembeni ktk kutumikia wananchi na serikali kwa ujumla,hawa watu weupe hilo ni kosa kubwa sana kimaadili na mtu wa nama hiyo hafai kabisa kuwa kiongozi ktk jamii hinayo mzunguka.kwa kifupi hatufai,kesho hakichukua cha ummatutasema nini