Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
Kesi hii ilianza muda mrefu sana, kumekuwa na kukata rufaa kwa pande zote huko nyuma lakini hata mie nakuwa na wasiwasi kuwa huenda wakili safari hii amekula njama na mdai na kkumuangusha Mlalamikiwa , kwani huyo mdai mama Salimin ni smart wa kutupa kama kuna mwandishi hivi sasa yuko Dodoma basi amfuate Mheshimiwa Dr Gama mbunge wa Kibaha amuulize jinsi alivyoponea chupuchupu kulizwa gari na mama huyoYawezekana Waziri walionyesha mkono wa Birika kwa Hakimu- au hakimu alikataa kupotea chochote!
Hii ni hukumu- inatufundisha kuwa haki inawezekana tu tz kama tuna nia njema!