News Alert: UFO in Dar

News Alert: UFO in Dar

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,506
Reaction score
123,776
Tazameni juu upande wa Kusini Magharibi (South West) kuna kitu si cha kawaida kinatoa mwangaza. Wenye ma camera ya ku zoom, haya tujuzeni.
 
Tazameni juu upande wa Kusini Magharibi (South West) kuna kitu si cha kawaida kinatoa mwangaza. Wenye ma camera ya ku zoom, haya tujuzeni.

Universe ina galaxies kibao, stars kibao isijekuwa ndio unachoona. Halafu wewe umeona ni UFO unatakaujuzwe nini tena?
 
Wewe bibi kweli ni mchawi unatufanya watu wazima tunaonekana ni vichaa nimetoka nakimbia nikamgoga na mtoto kisha uchawi wako.
 
.. FaizaFoxy unaangalia sana sinema za ma aliens, ila kwa style hiyo lazima u was hike nyota wa jf humuu
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kitu kama UFO,hizo ni science fictions tu,na mama yangu FaizaFoxy naye amedakwa kwenye mtego huo wa nzi?
 
Last edited by a moderator:
Wewe bibi kweli ni mchawi unatufanya watu wazima tunaonekana ni vichaa nimetoka nakimbia nikamgoga na mtoto kisha uchawi wako.

Wewe upo Shinyanga mambo yapo Dar. usitake kuanzisha vituko saa hizi.
 
Back
Top Bottom