Newcastle United anasiri gani wakuu? Nimefatilia uwezo wake safiri hiii anatisha

marehem x

JF-Expert Member
Dec 28, 2022
515
786
Wakuu hongerani na kazi.

Wengi wetu tunafatilia Sana ligi za Ulaya Moja ya ligi pendwa ni English premier league.

Katiba msimamo wa ligi Newcastle timu iliyokuwa unafanya vema enzi hizo ni kawaida kitobeza timu. Kwa Sasa inasonga vzr Sana kias Cha kuwa tishio Kwa nyingine kama Liverpool. Chelsea nk
Screenshot_20221231-173929.jpg
Screenshot_20221231-173909.jpg


Si ajabu wagombania nafasi ya kwanza akawa man city na asernal ingawa ni mapema Sana kusema Hilo Kwa Sasa.
Screenshot_20221231-173838.jpg


New castle anasiri gani Kwa sabab anashinda Sana mechi zake nanhata kutoa sare tu na vigogo kama man united, man city nk?

Siri ni ipi
Screenshot_20221231-173723.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20221231-173801.jpg
    Screenshot_20221231-173801.jpg
    69.8 KB · Views: 2
Newcastle ni wakupongezwa hasa kocha wao, pesa ya mwarabu haijatumika sana ukilinganisha na timu nyingine zenye mabosi waarabu kama Man City na wengine, kocha ametengeneza mfumo pale jamaa wana chemistry ya hatari.
 
Wakuu hongerani na kazi.

Wengi wetu tunafatilia Sana ligi za Ulaya Moja ya ligi pendwa ni English premier league.

Katiba msimamo wa ligi Newcastle timu iliyokuwa unafanya vema enzi hizo ni kawaida kitobeza timu. Kwa Sasa inasonga vzr Sana kias Cha kuwa tishio Kwa nyingine kama Liverpool. Chelsea nkView attachment 2464553View attachment 2464554

Si ajabu wagombania nafasi ya kwanza akawa man city na asernal ingawa ni mapema Sana kusema Hilo Kwa Sasa.
View attachment 2464556

New castle anasiri gani Kwa sabab anashinda Sana mechi zake nanhata kutoa sare tu na vigogo kama man united, man city nk?

Siri ni ipiView attachment 2464557
Tokea ununuliwe na hyo familia ya kitajiri jamaa kila mechi wanashindaa huwenda ikacheza uefa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Na hata usajili hawajafanya wakutisha hiivyo, nahisi ni molari ya wachezaji,
 
Newcastle ni wakupongezwa hasa kocha wao, pesa ya mwarabu haijatumika sana ukilinganisha na timu nyingine zenye mabosi waarabu kama Man City na wengine, kocha ametengeneza mfumo pale jamaa wana chemistry ya hatari.
Haijatumika sana kwasababu ya financial fair play, inakataza kiwango kikubwa cha pesa ya mmiliki kuingia moja kwa moja kwenye timu, athari yake kama mmiliki akifilisika pia athari zitaikumba clubs kama Leeds na Portsmouth walifilisika mpaka wakashindwa kulipa mishahara
Jina na thamani ya timu kushindana kwenye mashindano makubwa kama Europe na Eufa zinakuza thamani na kiwango cha matumizi kama wachezaji wakubwa,,,, kujibrand
 
Back
Top Bottom