NEW WEBSITE

NEW WEBSITE

Wikulwe

Member
Joined
Jun 27, 2018
Posts
28
Reaction score
21
Habari wakuu!
nimeamua kujaribu kutengeneza Website [Forum] yangu, sasa nataka ni publish iwe inatumika hapa Tanzania na East Africa pia, je nitakuwa nimekiuka mashart kuwaiga hawa walio tangulia kutengeneza, mfano Forum nyingine za East Africa pamoja na Jf?,
Mawazo yenu wakuu Forum yenyewe ina husu mambo ya kuchati kwa kubadilishana mawazo hapa na pale.
Natanguliza shukrani maoni yawe kuntu kidogo nijue cha kuongezea. Asante
 
Katika mambo ya ICT, mtu akiamua kutengeneza kitu lazima kuwe na Tatizo ambalo analisove & ( objective)

Sasa tupe objective zako alafu na sisi tuweke maoni yetu.

Mfano, hizi forums ambazo zipo zina mapungufu gani ambayo umeyaona & wewe unaenda kuyasove

Kazi kwako ndugu.

Sent from my GT-N7000 using Tapatalk
 
Mapungufu yapo , ndo maana nimeamua kuuliza kwanza kuwa naweza nami ni publish forum yangu kwa nchi za Masha riki hizi,
 
Biashara ni ushindani na pia lengo lako ni kutatua tatizo lipi....

Ni bora ukapitia forums ukajifunza vilivyokosekana ili ukiviweka kwako viweze kuvutia watumiaji.. vinginevyo unaweza ukakosa users!

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Back
Top Bottom