RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,877
- 5,444
Unlimited voda hii ambayo ilikuwa 40,000 now 20,000. Unataka kuniambia ni 35 GB full speed siku hizi?
Ndo IT Guru amesema hivyo.. mi nilidhani umepinga kwa sababu ulishaitumia.
Mi nakubaliana na IT maana Tigo huwa wanaiga sana voda wanachokifanya... Pili haileti maana yeyote kuwa Kwa mwezi unapata GB hizo ulizosema . Wakati kwa siku unapata GB 1 unlimited kwa vifurushi vingine.