Kweli duniani kuna gap kubwa sana kati ya matajiri na masikini, halafu siku ya kiama masikini wa watu pamoja na dhiki zote ulizopata duniani unakutana na moto tena, kwa tajiri angalau duniani kaponda maraha.
Ona sasa wengine hatuna hata baiskeli wengine wamejenga meli kama nyumba iliyo ufukweni mwa bahari!
Kweli duniani kuna gap kubwa sana kati ya matajiri na masikini, halafu siku ya kiama masikini wa watu pamoja na dhiki zote ulizopata duniani unakutana na moto tena, kwa tajiri angalau duniani kaponda maraha.
Ona sasa wengine hatuna hata baiskeli wengine wamejenga meli kama nyumba iliyo ufukweni mwa bahari!
Tajiri kuuona ufalme wa mbinguni ni ngumu, ni sawa na Ngamia kupita katika tundu la sindano.
halafu tajiri siku ya mwisho anatupua anaenda kwa Mungu
Tajiri kwenda mbinguni ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano! HAIWEZEKANI!
Nadhani ni asilimia 10 tu ya matajiri wanaweza kwenda mbinguni!
Tajiri kwenda mbinguni ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano! HAIWEZEKANI!
Nadhani ni asilimia 10 tu ya matajiri wanaweza kwenda mbinguni!
we jifariji tu hapoTajiri kwenda mbinguni ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano! HAIWEZEKANI!
Nadhani ni asilimia 10 tu ya matajiri wanaweza kwenda mbinguni!