"New Scramble for Africa" Washington yajibu mapigo ya Belt and Road Initiative ya China kwa kumwaga mabilioni ya mradi wa Lobito Corridor

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,109
49,811

View: https://twitter.com/jcniyomugabo/status/1729163050480005249?t=i7hhqtCU199pYVTUS_-GaQ&s=19
Kinyang'anyiro Cha Kumiliki rasilimali za Afrika kinazidi kupamba moto baina ya USA na Washirika wake wa Ulaya Kwa upande mmja Dhidi ya China.

China ilizimdua Mkakati wake unaojulikana kama Road and Bridge Initiative (RBI) ambao ulilenga kujenga maelfu ya miundombinu na kutoa mikopo ya kuwezesha ujenzi wa Miundombinu barani Afrika na kusaini MoU na Nchi zote 52 za Africa.

Baada ya Marekani kuona anaachwa nyuma nae amekuja na jibu Kwa ku pumba mamilioni ya Dola kwenye Ukanda wa usafirishaji unaojulikana kama Lobito Transport Corridor ambapo inalenga kufufua reli ya zamani na kuongeza mtandao wa reli kutoka Bandari ya Lobito Angola Hadi kwenye migodi ya Madini maeneo ya copper belt Nchini Zambia na DRC.Aidha zaidi ya km 250 za barabara zitajengwa kama feeder roads za reli Mpya.


Swali.
Je, this time around ,hii vita ya Kiuchumi ya Mabeberu itatunufaisha au tutaliwa kama zama za Ukoloni?
 
Ujio wa King Charles III pale Kenya na Rais wa Ujerumani hapa Bongo nikajua Wenyewe wanarudi 😂😂

Sisi Mkuu anatafuta hela, wengine wanazila kama za kwao. hao wanastahili kunyongwa kwa uzi wa kukamatia samaki. Ubadhilifu unaturudisha sana nyuma. Ifike mahali sasa tuseme imetosha.
Hata awe kigogo gani awajibishwe
 
Ujio wa King Charles III pale Kenya na Rais wa Ujerumani hapa Bongo nikajua Wenyewe wanarudi
Akafika Hadi pale SONGEA na kuona makaburi ya machifu na wanajeshi wa majimaji na akaahidi kurudisha kile kichwa Cha mwamba waliyemnyonga maratatu na asife ,wakaamua kupiga risasi na kuondoka na kichwa ,ndg yetu nduna SONGEA mbano

Nduna ,ni inamaana ya mtawala/chief kwawatu wasongea ,na eneo walilokuwa wananyongewa panaitwa SONGEA club na rais wa ujerumani alishinda sana hapo...
 
Ndio kilichomleta Kamala Haris last visit.

Kupambana na influence ya China Barani Afrika.

Marekani anaogopa sana mchina.

Anazikandia bidhaa zake.

Ila nilimuuliza jamaa mmoja sawa China wana bidhaa feki ila ni affordable kuliko zenu sisi waafrika tunazimudu , hawana plan ya kushindana nazo kwa sasa labda huko baadae.
 
Neo
Kinyang'anyiro Cha Kumiliki rasilimali za Afrika kinazidi kupamba moto baina ya USA na Washirika wake wa Ulaya Kwa upande mmja Dhidi ya China.

China ilizimdua Mkakati wake unaojulikana kama Road and Bridge Initiative (RBI) ambao ulilenga kujenga maelfu ya miundombinu na kutoa mikopo ya kuwezesha ujenzi wa Miundombinu barani Afrika na kusaini MoU na Nchi zote 52 za Africa.

Baada ya Marekani kuona anaachwa nyuma nae amekuja na jibu Kwa ku pumba mamilioni ya Dola kwenye Ukanda wa usafirishaji unaojulikana kama Lobito Transport Corridor ambapo inalenga kufufua reli ya zamani na kuongeza mtandao wa reli kutoka Bandari ya Lobito Angola Hadi kwenye migodi ya Madini maeneo ya copper belt Nchini Zambia na DRC.Aidha zaidi ya km 250 za barabara zitajengwa kama feeder roads za reli Mpya.


Swali.
Je, this time around ,hii vita ya Kiuchumi ya Mabeberu itatunufaisha au tutaliwa kama zama za Ukoloni?

View attachment 2813399
Neo colonialism. Ukoloni hauwezi kuisha ikiwa nchi zetu za afrika zinategemea pesa za wazungu kukamilisha mipango ya kwenye bajeti zetu
 
Kinyang'anyiro Cha Kumiliki rasilimali za Afrika kinazidi kupamba moto baina ya USA na Washirika wake wa Ulaya Kwa upande mmja Dhidi ya China.

China ilizimdua Mkakati wake unaojulikana kama Road and Bridge Initiative (RBI) ambao ulilenga kujenga maelfu ya miundombinu na kutoa mikopo ya kuwezesha ujenzi wa Miundombinu barani Afrika na kusaini MoU na Nchi zote 52 za Africa.

Baada ya Marekani kuona anaachwa nyuma nae amekuja na jibu Kwa ku pumba mamilioni ya Dola kwenye Ukanda wa usafirishaji unaojulikana kama Lobito Transport Corridor ambapo inalenga kufufua reli ya zamani na kuongeza mtandao wa reli kutoka Bandari ya Lobito Angola Hadi kwenye migodi ya Madini maeneo ya copper belt Nchini Zambia na DRC.Aidha zaidi ya km 250 za barabara zitajengwa kama feeder roads za reli Mpya.


Swali.
Je, this time around ,hii vita ya Kiuchumi ya Mabeberu itatunufaisha au tutaliwa kama zama za Ukoloni?
Tunaliwa tena. Hatujajiandaa na hatuna uongozi bora wala siasa safi.
Hakuna aliye tayari kufa kwa manufaa ya Waafrika wenzake wala kulinda maliasili zake. Kushangilia na usomi uchwara. Tulisomeshwa kusave white masters. Period
 
Back
Top Bottom