Umejuaje hakuna deep programing na site nyingi nilizoona wamereview one ui wanaisifia. Na umetaja feature moja tu hapo, kuna mambo mengi inafanya zaidi.
Kitu chochote ambacho hakitengenezwi kwa mass volume kinakuwa ghali, gharama za kufanyia tafiti, mishahara etc haziwezi lipwa na units kama 10,000 mpaka hizo simu ziwe mainstream usitegemee kuwa rahisi, nakupa mifano zaidi.
-hololens ya microsoft dola 3000
-monitor za oled unaongelea mamilioni ya hela.
Sababu zinauzwa ghali si ujinga bali ndio mwanzo wa technology miaka inavyokwenda na vitu kuwa mainstream na bei na technology inakuwa rahisi zaidi.
Kama umeshawahi hata kutoa order ya chupa za plastic utaelewa ninachozungumza.
Vitu vyote ulivyotaja ni option hakuna hata kimoja ulicholazimishwa, mfano simu ikiwa na iris scanner usioipenda ni lazima kuitumia? Si unaieka tu off kwenye settings na kuendelea kutumia pattern ama password? Same kwenye hio s4 ilikuwa ni optional tu. Na pia si kila technology imetengenezwa kwa ajili ya watu wote kama kitu unaona hakiendani na matumizi yako unakiacha na kutafuta unachokipenda.
Subiria reviews kwanza za hio foldable software kisha ndio ulalamike vizuri.
Hii foldable si mara ya kwanza kuionesha, mwaka Jana waliionesha kidogo, this time wamei reveal lakini ishaonekana kuwa na issues . Kwanza juzi imeonesha poor response , angalia vizuri ile video jamaa ana bonyeza mara mbili tatu ndo ika respond , akaifungua kwenye map pale akabonyeza kama mara tatu ndo ika respond. So far Samsung wameificha hii simu maana tumezoea simu ikitoka inakaa display watu wana review zikiwa kwenye display na sometimes wanapewa wachache. Lakini hali imekuwa tofauti mpaka sasa hamna mtu si tech reviewer si mtu yeyote aliyeishika mkononi hata kwenye display, imefichwa . Hili ni tatizo, Ninafikiri Samsung hawakuwa tayari na hii kitu Bali wamekuwa forced na some market forces. Ndo maana nasema Samsung ni mabingwa wa vitu nusu nusu/ gimmicks
Hii video angalia kuanzia dk ya 3.


Sent from my iPhone using JamiiForums
