Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,060
- 43,477
Tayari imeshafeli, ni juhudi za haraka kukabiliana na samsung na matokeo yake wakatoa kifaa ambacho hakijakamilikandooo hii bei yake ni mil 6 wakiitoa wanaizika foldable ya samsung
Sent using Jamii Forums mobile app
Kioo chake sio flat na kina mikunjo kunjo ili kiweze ku achieve 180° fold