New Samsung fold Ni balaa...

New Samsung fold Ni balaa...

ndooo hii bei yake ni mil 6 wakiitoa wanaizika foldable ya samsung

Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari imeshafeli, ni juhudi za haraka kukabiliana na samsung na matokeo yake wakatoa kifaa ambacho hakijakamilika

Huawei-Mate-X-is-amazing-but-its-screen-is-wrinkled-right-in-the-middle.jpg


Kioo chake sio flat na kina mikunjo kunjo ili kiweze ku achieve 180° fold
 
Si kweli makampuni mengi makubwa yame castomise sana android features nyingi tuu ndio maana kuna huduma zipo kwenye samsung au sony au lg na huawei na hazipo kwenye tecno yenye version hiyo hiyo ya androidn

Nimeangalia Samsung wenyewe wanaonesha hiyo foldable phone , hamna app waliyoonesha ya maana itakayo take advantage ya foldable . Zaidi ya kufunga na kufungua hamna kitu cha ziada kilichooneshwa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nimeangalia Samsung wenyewe wanaonesha hiyo foldable phone , hamna app waliyoonesha ya maana itakayo take advantage ya foldable . Zaidi ya kufunga na kufungua hamna kitu cha ziada kilichooneshwa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Walishazindua os ya foldable phone kabla hardware haijazinduliwa. Mwaka jana mwezi wa 11 ndio walizindua one ui. Ukiangalia ile event ndio walionesha namna software inavyo adapt kioo kikubwa na kidogo na hata matumizi kwa kutumia mkono mmoja kwenye simu za vioo vikubwa.
 
Hawajaweza kabisa ku optimise system isitafune battery haraka yani. Thats what keeping me from buying Shamesung phones. My bet for Sony X1 anytime!
Compare samsung na Huawei, sasmung wapo vizuri kwenye ku optimise battery, japo nakubali sony ni habari nyengine inapokuja kwenye ku optimise battery.
 
Bei kubwa halafu hakuna la maana, hapo kwenye $2000 unanunua simu na tablet au convertible pc


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Walishazindua os ya foldable phone kabla hardware haijazinduliwa. Mwaka jana mwezi wa 11 ndio walizindua one ui. Ukiangalia ile event ndio walionesha namna software inavyo adapt kioo kikubwa na kidogo na hata matumizi kwa kutumia mkono mmoja kwenye simu za vioo vikubwa.

Nipe link niichek, maana nililoliona juzi ni simu mbili zimeunganishwa. Kuiponda notch kote Leo na wao wanakuja na notch . Samsung si kampuni ya kuiamini wanapenda kufanya vitu nusu nusu na gimmick kuwarubuni wateja lakini ukiangalia kwa undani value hamna


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nipe link niichek, maana nililoliona juzi ni simu mbili zimeunganishwa. Kuiponda notch kote Leo na wao wanakuja na notch . Samsung si kampuni ya kuiamini wanapenda kufanya vitu nusu nusu na gimmick kuwarubuni wateja lakini ukiangalia kwa undani value hamna


Sent from my iPhone using JamiiForums
Angalia kipande hiki


Kwa video zaidi search sdc18 youtube.

Na sidhani kama samsung anarubuni watu bali ndio mama wa innovations kwa sasa nitakupa mifano.

-storage zake za ufs ndio zinatumika karibia highend zote, simu haikamiliki na kuitwa flagship ikiwa haina hizi memory.
-vioo vyake vya amoled ndio best
-ram zake zinatumika karibia simu zote.

Hio foldable phone ifikirie kama prototype kwa sasa kila miaka itaimprove.

Hata kipindi samsung anatoa note 1 watu walikuwa wanaponda simu kubwa ila sasa hivi kila mtu anatengeneza simu kubwa.
 
Nipe link niichek, maana nililoliona juzi ni simu mbili zimeunganishwa. Kuiponda notch kote Leo na wao wanakuja na notch . Samsung si kampuni ya kuiamini wanapenda kufanya vitu nusu nusu na gimmick kuwarubuni wateja lakini ukiangalia kwa undani value hamna


Sent from my iPhone using JamiiForums
Half baked shit
 
Angalia kipande hiki


Kwa video zaidi search sdc18 youtube.

Na sidhani kama samsung anarubuni watu bali ndio mama wa innovations kwa sasa nitakupa mifano.

-storage zake za ufs ndio zinatumika karibia highend zote, simu haikamiliki na kuitwa flagship ikiwa haina hizi memory.
-vioo vyake vya amoled ndio best
-ram zake zinatumika karibia simu zote.

Hio foldable phone ifikirie kama prototype kwa sasa kila miaka itaimprove.

Hata kipindi samsung anatoa note 1 watu walikuwa wanaponda simu kubwa ila sasa hivi kila mtu anatengeneza simu kubwa.

Utapeli huu😀😀😀
 
Angalia kipande hiki


Kwa video zaidi search sdc18 youtube.

Na sidhani kama samsung anarubuni watu bali ndio mama wa innovations kwa sasa nitakupa mifano.

-storage zake za ufs ndio zinatumika karibia highend zote, simu haikamiliki na kuitwa flagship ikiwa haina hizi memory.
-vioo vyake vya amoled ndio best
-ram zake zinatumika karibia simu zote.

Hio foldable phone ifikirie kama prototype kwa sasa kila miaka itaimprove.

Hata kipindi samsung anatoa note 1 watu walikuwa wanaponda simu kubwa ila sasa hivi kila mtu anatengeneza simu kubwa.


Nafikiri sitakosea hii one ui nikiita reachability, wame organise interface ili mtu aweze kufikia baadhi ya vitu kwa urahisi ukichukulia kwamba simu za siku hizi ni kubwa. Hamna deep programming hapo

Hapo kwenye foldable kama prototype ndo nilipo hapo. Prototype inauzwa dola 2,000. Why wasiwekeze kwanza wakatoa kitu kizuri yan foldable ikawa kweli foldable kuliko kuunga two phones na kuiita foldable. Nimeangalia foldable ya huawei it’s almost the same thing hawa watu wanafanya

Samsung wana tabia ya kutoa vitu nusu nusu mfano ni iris scanner zao za mwaka juzi na mwaka jana practically zilikuwa mbaya sana achilia mbali zile fake gesture features walizowahi kuweka kwenye zile S4 kama sijakosea. Hii foldable tukubali tukatae ni marketing tu lakini design na ufanyaji kazi ni bora mtu anunue simu moja inc 6 au 7. Kwangu mimi ni bora kusubri mpaka technology ifike hapo ndo utoe bidhaa ili kulinda hata wale wateja wanaofuata mkumbo.

Wanahitaji kuwekeza kwenye software, kuanzia in-house mpaka kwa developers, ni kazi ngumu na inahitaji akili lakini inawezekana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nafikiri sitakosea hii one ui nikiita reachability, wame organise interface ili mtu aweze kufikia baadhi ya vitu kwa urahisi ukichukulia kwamba simu za siku hizi ni kubwa. Hamna deep programming hapo
Umejuaje hakuna deep programing na site nyingi nilizoona wamereview one ui wanaisifia. Na umetaja feature moja tu hapo, kuna mambo mengi inafanya zaidi.

Hapo kwenye foldable kama prototype ndo nilipo hapo. Prototype inauzwa dola 2,000. Why wasiwekeze kwanza wakatoa kitu kizuri yan foldable ikawa kweli foldable kuliko kuunga two phones na kuiita foldable. Nimeangalia foldable ya huawei it’s almost the same thing hawa watu wanafanya
Kitu chochote ambacho hakitengenezwi kwa mass volume kinakuwa ghali, gharama za kufanyia tafiti, mishahara etc haziwezi lipwa na units kama 10,000 mpaka hizo simu ziwe mainstream usitegemee kuwa rahisi, nakupa mifano zaidi.
-hololens ya microsoft dola 3000
-monitor za oled unaongelea mamilioni ya hela.

Sababu zinauzwa ghali si ujinga bali ndio mwanzo wa technology miaka inavyokwenda na vitu kuwa mainstream na bei na technology inakuwa rahisi zaidi.

Kama umeshawahi hata kutoa order ya chupa za plastic utaelewa ninachozungumza.

Samsung wana tabia ya kutoa vitu nusu nusu mfano ni iris scanner zao za mwaka juzi na mwaka jana practically zilikuwa mbaya sana achilia mbali zile fake gesture features walizowahi kuweka kwenye zile S4 kama sijakosea. Hii foldable tukubali tukatae ni marketing tu lakini design na ufanyaji kazi ni bora mtu anunue simu moja inc 6 au 7. Kwangu mimi ni bora kusubri mpaka technology ifike hapo ndo utoe bidhaa ili kulinda hata wale wateja wanaofuata mkumbo.
Vitu vyote ulivyotaja ni option hakuna hata kimoja ulicholazimishwa, mfano simu ikiwa na iris scanner usioipenda ni lazima kuitumia? Si unaieka tu off kwenye settings na kuendelea kutumia pattern ama password? Same kwenye hio s4 ilikuwa ni optional tu. Na pia si kila technology imetengenezwa kwa ajili ya watu wote kama kitu unaona hakiendani na matumizi yako unakiacha na kutafuta unachokipenda.

Wanahitaji kuwekeza kwenye software, kuanzia in-house mpaka kwa developers, ni kazi ngumu na inahitaji akili lakini inawezekana


Sent from my iPhone using JamiiForums
Subiria reviews kwanza za hio foldable software kisha ndio ulalamike vizuri.
 
Back
Top Bottom