New Music Diamond Platnumz - Hello

New Music Diamond Platnumz - Hello

Hii nyimbo km kacopy idea kwa mtu tena melody ni zilezile mmh hapa kabugi bana
 
Hii ngoma ni nzuri kupitiliza,ila producer hakuichuja vizuri ama sjui nini. ubora wa production uko chini
 
Japo wimbo sio official release(leak) but kama kawa simba huwa hakoseagi kwenye mawindo yake!

Kuna mdau Sirdirashy amesema ni idea ya mtu,ni kweli ila ni idea yake mwenyw platnumz kuna wimbo aliimba kama hivi kwa mbaali japo nao ulivuja tu,unaitwa NAKUKUMBUKA,ukiuckiliza huo nakukumbuka haujaachana mbali na huu HELLOW
 
Japo wimbo sio official release(leak) but kama kawa simba huwa hakoseagi kwenye mawindo yake!

Kuna mdau Sirdirashy amesema ni idea ya mtu,ni kweli ila ni idea yake mwenyw platnumz kuna wimbo aliimba kama hivi kwa mbaali japo nao ulivuja tu,unaitwa NAKUKUMBUKA,ukiuckiliza huo nakukumbuka haujaachana mbali na huu HELLOW
Nakukumbuka bonge la ngoma..kumbe ulivuja😕😕
 
Nakukumbuka bonge la ngoma..kumbe ulivuja😕😕
ndio mkuu,ule wimbo ni matata ila nao ulivuja that is why ukiuckiliza vizur kama mixing zake hazijakolea flani ivi...c unajia huyu dogo ana ghala la ngoma so nyengne huwa zinaponyoka,halafu wala hajali kabisa,anaendelea na ratiba zake km kawaida.
 
Mnanichekexha mnapoxema Idea ya msani flani but kila hited song ni aidia za msanii deshi deshi..............Nachekaje!!
 
ndio mkuu,ule wimbo ni matata ila nao ulivuja that is why ukiuckiliza vizur kama mixing zake hazijakolea flani ivi...c unajia huyu dogo ana ghala la ngoma so nyengne huwa zinaponyoka,halafu wala hajali kabisa,anaendelea na ratiba zake km kawaida.
Mkuu lakini jamaa awe makini na hizi ngoma anavoziachia tu kiivi .Hii mashine angeitaarisha vizuri na kuitoa with official video aloo mfano wake ingekuwa hakuna.
 
Bora hata utanipenda kuliko hii, naona anaishiwa rasm na utabiri aliojiimbia unatimia
 
Back
Top Bottom