J Joofree Member Jul 24, 2012 14 4 Jul 24, 2012 #1 Helow, you hear me........ Thanks pombekali maana hizi lugha za watu tunazing'ang'ania na maulimi yamebaki vipisi kwakujing'ata lakini tumo tu
Helow, you hear me........ Thanks pombekali maana hizi lugha za watu tunazing'ang'ania na maulimi yamebaki vipisi kwakujing'ata lakini tumo tu
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Jul 24, 2012 #4 Joofree said: Helow, you here me........ Click to expand... We HEAR you..!! Karibu!
J Joofree Member Jul 24, 2012 14 4 Jul 24, 2012 Thread starter #5 Nawashukuru wote, nilikuwa napitapita huko kuangalia mazingira. Alhamdulilah rabilahmina nimeburudika nafikiri nitakuwa mwenyeji mwenzenu yaani nimevutiwa kurudi kwetu sijisikii
Nawashukuru wote, nilikuwa napitapita huko kuangalia mazingira. Alhamdulilah rabilahmina nimeburudika nafikiri nitakuwa mwenyeji mwenzenu yaani nimevutiwa kurudi kwetu sijisikii
Globu JF-Expert Member Jan 12, 2011 8,571 2,068 Jul 24, 2012 #6 Karibu sana JF. Alhamdulilah Rabil alamin.