begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,822
- 2,862
mpaka facebook shaisahau ,kilichokuwa kina nipeleka fb ni utabiri wa nyota wa maalim hamad mtoto wa shekh yahya husein na grou la pharmacy...
Huyu rarararerere sijui kapotelea wapi Mzee wa kulike!Robert Heriel Mtibeli | Mshana Jr | raraa reree | patrickk | Evelyn Salt | Joanah et al
Habari zenu wakuu, wakubwa shikamoo, wadogo zangu mambo niaje.
Kwa miezi ya hivi karibuni since July, 2024 nimekuwa mfatiliaji mzuri tu wa majukwaa ya JF, ilianza kwa kusearch "Elimu Tanzania" kwenye opera mini na kiswaswadu changu haha, zikaja results za JF asee tokea siku hio imekuwa kama addiction I must open JF kila siku.
Mwanzo sikujiunga ila leo nimejiunga niwe member rasmi, navutiwa na baadhi ya members kama
JF ni kisima cha maarifa mitandao mingine inabidi ifutwe haha(joking...)
Natumaini kupata karibu zenu asanteni sana
🙂
😁😁😁😁umeamka na hangover?Unaposema(ga) "jirani" huwa unamaanisha nini! (wanaokuchakata mbususu ama?)
Nipe mwongozo 🙂
Nashukuru Kukuona tena mkuu, Text ya kwanza kabisa kunikaribisha jamiiforum ni hii. 13 years hapa ndani umekuwa/unaendelea kuwa wakati bora sana hapa ndani....Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
Ni kama alipewa jukumu hili ni specialist wa kukaribisha wageni yuko vizuri!Nashukuru Kukuona tena mkuu, Text ya kwanza kabisa kunikaribisha jamiiforum ni hii. 13 years hapa ndani umekuwa/unaendelea kuwa wakati bora sana hapa ndani....
😁😁😁jiongeze mwenyewenipe mwongozo kwanza, nilitest pombe ni chungu sitarudia 🙂
Hiyo ilikuwa kitambo sana jamani na hata hivyo hakufanikiwaNajizidisha 😀
una majirani wengi imebidi niruke kurasa za faili, naona hapa unasema ndugu yako anaomba achovye kimasihara!
Sawa jirani 😁😁Ngoja nipate maji nitalirudia faili lako 🙂
Hebu liscreenshot nione kama kweli 😁nataka nije chumbani kwako pihemu ila mlango naona una kufuli kubwa!
Tuombeane tu uzima.Nashukuru Kukuona tena mkuu, Text ya kwanza kabisa kunikaribisha jamiiforum ni hii. 13 years hapa ndani umekuwa/unaendelea kuwa wakati bora sana hapa ndani....