Naam, mambo poa😁unaitika vizuri 🙂
Mambo vipi
Nimeshinda poa hujaniona wapi?Haha umeshindaje jirani leo sikuoni!
Mimi nipo sema napita kimya kimya 😃Kwenye majukwaa, ukikosekana nakosa amani ujue 🙂
Chama kipi hiko jirani😁😁😁😀 haha kumbe
karibu kijijini ujue nampango wa kuhama chama kama utanikubalia kuwa wife.
🙂
Nikajua unatoka CCM unaenda CHAUMAChakando(chama cha kataa ndoa)
😎
Acha uongo nakuonaga kwenye comments section za siasa😁Hahaha 😀 jirani me na siasa wapi na wapi
Haha kabisa mkuu..wewe ulikuwa kama mimi tuRobert Heriel Mtibeli | Mshana Jr | raraa reree | patrickk | Evelyn Salt | Joanah et al
Habari zenu wakuu, wakubwa shikamoo, wadogo zangu mambo niaje.
Kwa miezi ya hivi karibuni since July, 2024 nimekuwa mfatiliaji mzuri tu wa majukwaa ya JF, ilianza kwa kusearch "Elimu Tanzania" kwenye opera mini na kiswaswadu changu haha, zikaja results za JF asee tokea siku hio imekuwa kama addiction I must open JF kila siku.
Mwanzo sikujiunga ila leo nimejiunga niwe member rasmi, navutiwa na baadhi ya members kama
JF ni kisima cha maarifa mitandao mingine inabidi ifutwe haha(joking...)
Natumaini kupata karibu zenu asanteni sana
🙂
Mimi JF nimeijulia mwaka jana tu hapo, nilikuwa na kiswaswadu changu nasearch riwaya za kijajusi ndo ikatokea JF...Haha JF imetunasa mwanzo nilikua siijui kabisa.
Ahsante mkuu, wiki hii ndio nilijoin..Karibu mkuu, naona ulijoin hii wiki.