New From NACTE

New From NACTE

kipusi

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2015
Posts
443
Reaction score
75
breaking Newssssssssasss maombi nacte yanaendelea mwisho 16.10.2015 11.59PM xo unatakiwa kutuma maombi au kupdate!!! info zako Tunashkuru kwa kutuongezea mudaa!!! if posble muongeze tena!!.Thank you Nacte!!.
 
breaking Newssssssssasss maombi nacte yanaendelea mwisho 16.10.2015 11.59PM xo unatakiwa kutuma maombi au kupdate!!! info zako Tunashkuru kwa kutuongezea mudaa!!! if posble muongeze tena!!.Thank you Nacte!!.

hahahaaahaha hapa mizengo pinda theory itahusika kwa nacte
 
hahahaaahaha hapa mizengo pinda theory itahusika kwa nacte

hahaha aya bhana!!! niliona walioapply kpitia nacte wamelala xana humu kmbe we uko macho!! xo pipo zmechoka kusbiriii
 
Nimewapigia simu kuwauliza, tukasalimiana vizuri lipogusia tu habari ya post mheshimiwa kakata simu bila kuniaga, hajanibu chochoteeeee!
 
Nimewapigia simu kuwauliza, tukasalimiana vizuri lipogusia tu habari ya post mheshimiwa kakata simu bila kuniaga, hajanibu chochoteeeee!

hahaha kwa hapa tulipofikia Nacte wanatakiwa kutupongeza kwa kuwa na subira na uvumilivu mkubwaa!!!
 
kwa uvumilivu huu nacte mnapaswa kuturudishia pesa tulizotumia kufanya application, maana hiki kipigo cha kusubiria application fee chamtoto....
 
breaking Newssssssssasss maombi nacte yanaendelea mwisho 16.10.2015 11.59PM xo unatakiwa kutuma maombi au kupdate!!! info zako Tunashkuru kwa kutuongezea mudaa!!! if posble muongeze tena!!.Thank you Nacte!!.

aaah???!!!!! nakufungua kote huu uzi nilifikiri join tayari kumbe ....

Basi bhana... umeniweza kiaina
 
wadanganyika tunauvilimilivu.application za chuo miezi minne unasubiri tu.kuna kitu kinaendelea nacte .hivi kwanini ucmpe mtu uhuru wa kupeleka maombi chuo anachotaka ,hivi kwanini umchagulie mtu chuo cha kusoma ?. tanzaniaaaaaaaaaa?
 
haa haa kama hujachaguliwa fanya mchakato mwingine,ukienda kwenye profile wanakwambia second round mwisho tarehe 16 mwezi wa 10. kama ulichagua chuo nenda kwenye go to profile ingia hapo utaona chuo ulichochaguliwa. kama mpaka sasa hujachaguliwa basi jaribu mwakani.maana tarehe 16 ni siku ya kufunga udahili
 
wadanganyika tunauvilimilivu.application za chuo miezi minne unasubiri tu.kuna kitu kinaendelea nacte .hivi kwanini ucmpe mtu uhuru wa kupeleka maombi chuo anachotaka ,hivi kwanini umchagulie mtu chuo cha kusoma ?. tanzaniaaaaaaaaaa?

mfumo wa kupitia NACTE application ni mzuri xana binafsi nmeupenda coz huwezi kosa chuo.
 
haa haa kama hujachaguliwa fanya mchakato mwingine,ukienda kwenye profile wanakwambia second round mwisho tarehe 16 mwezi wa 10. kama ulichagua chuo nenda kwenye go to profile ingia hapo utaona chuo ulichochaguliwa. kama mpaka sasa hujachaguliwa basi jaribu mwakani.maana tarehe 16 ni siku ya kufunga udahili

Acha ubwege ww hakuna mtu ataekosa chuo km alivyochagua vimejaa wanampangia chuo chochote kozi yoyote kulingana na qualification zake wenyewe wanasema bado watu wengi hawajawapangia vyuo ila mwishoni wa mwezi hui watakuwa wamesha kamilisha zoezi....
 
haa haa kama hujachaguliwa fanya mchakato mwingine,ukienda kwenye profile wanakwambia second round mwisho tarehe 16 mwezi wa 10. kama ulichagua chuo nenda kwenye go to profile ingia hapo utaona chuo ulichochaguliwa. kama mpaka sasa hujachaguliwa basi jaribu mwakani.maana tarehe 16 ni siku ya kufunga udahili

mh acha kuwadanganya na kuwakatisha tamaa watu ndugu.
 
mfumo wa kupitia NACTE application ni mzuri xana binafsi nmeupenda coz huwezi kosa chuo.

umeupenda wewe nacte waliwahi kunipeleka chuo wanachokitaka wenyewe.ninachokitaka mimi wakasema kimejaa.nikaenda hicho chuo wanachosema kimejaa wakaniambia nafasi ni bwerere
 
Duh kipus unataka kusema ndo unaweza kwnd kufanya registration sum unayotaka
 
Back
Top Bottom