jaqfantasy212
JF-Expert Member
- Dec 17, 2012
- 542
- 258
Aje friends?
Post yangu hapa sio mahala sahihi sana ila naiman mtanielewa..
Moja post hii inawahusu wanaojielewa na watu wazima kuanzia miaka 27 na kuendelea..
Pili ukiwa muajiriwa, umejiajiri au una mipango mkakati itakuwa bomba sana..
Nia na madhumuni ningependa kujuana/kukutana na kubadilishana mawazo na watu wapya kabisa katika maisha yangu..
Jfantasy......Co.Ltd(MD)
Ukipenda ni PM..
Thanx
Post yangu hapa sio mahala sahihi sana ila naiman mtanielewa..
Moja post hii inawahusu wanaojielewa na watu wazima kuanzia miaka 27 na kuendelea..
Pili ukiwa muajiriwa, umejiajiri au una mipango mkakati itakuwa bomba sana..
Nia na madhumuni ningependa kujuana/kukutana na kubadilishana mawazo na watu wapya kabisa katika maisha yangu..
Jfantasy......Co.Ltd(MD)
Ukipenda ni PM..
Thanx