New Force yapata ajali Kitonga

Boran Jakutay

Senior Member
Apr 8, 2023
110
255
Mapema leo Julai 2, 2023, eneo la KITONGA imetokea ajali ya Bus la Kampuni la NEWFORCE, tusubiri taarifa kamili kutoka mamlaka husika.
 

Attachments

  • BkzUPWApc1Sr4HCJ.mp4
    4.4 MB
ukiona mwanaume kaweka gari yake barabaran na inafanya biashara ujue anapambana sana , we endele tu kuchagua na kusema ile gari sipandi imechoka ila gharama za uendeshaji na changamoto zake siyo za mchezo mchezo Dar Lux amevuta handbrake katafuta kivuli apumzike kwanza
 
Back
Top Bottom