New Delhi: Tembea ujionee

Mdogowangu alitaka aende akasome degree ya computer science branch ya punjab university New Delhi ila jamaa aliyekua akiunganisha mambo alitutajia gharama kubwa za kukodi rum about Tsh180,000 per month kiasi ambacho wazee walighairi tena kumpeleka dogo .sijui kwanini watanzania wengi walioko nje hawatoi info za kweli wanajali sana cha juu tena kingi !! Dogo ilimuathiri sana kias kwamba ilimcost performance yake chuoni coz alishamaliza kushughulikia mambo yote yahusuyo safari.

amsr
 
Nasikia ni wabaguzi sana, kuna ripoti ya binti wa kiTanzania kupigwa na kuvuliwa nguo hadharani.
Sitaki kuhukumu kwa ile ripoti na kufanya nao kazi. Je Kuna ukweli juu ya hilo? Kama ndiyo, uliwezaje kuhimili maisha ya huko kukiwa na ubaguzi kama huo?
Mkuu zile ni Siasa za kale naweza sema kwa sasa zishaisha... Wanasiasa huwapa pesa waandamanaji kisha huchagua jambo la kufanya wanaweza ziba njia n.k so ile ya kupiga Waafrica ilikuwa ni kwa kumkomoa Waziri Mkuu alipoandaa mkutano na viongozi wa Africa... ili wasuse lakini mkutano ulifanyika baada ya viongozi kueleweshwa... black Money now ni kama imededishwa baada ya pesa kubadilishwa so hakuna pesa za mchezo mchezo tena.. na Mhindi haandamani bila pesa kwai wanajua faida ni yako wewe wao wakishamaliza maandamano wanarejea kwenye shughuli zao tu...India Maandamano ni sehemu ya kipato... STUKA Kwety huwa tunasombwa na matrucks
 
Ila india tuna mengi ya kujifunza toka kwao kuanzia elimu, viwanda, shirika la Ndege, DIASPORA na SAYANSI &TEKNOLOJIA.
 
Aisee mtaahirisha vipi masomo ya mtu kwa kitu kidogo hivyo? Accomodation hio angelipa mwezi tu akifika kule anapata ujanja na kuwa mwenyeji. Hivyo angetafuta mwenyewe accomodation bora na bei rahisi.
 
Ila india tuna mengi ya kujifunza toka kwao kuanzia elimu, viwanda, shirika la Ndege, DIASPORA na SAYANSI &TEKNOLOJIA.
Plus Miundo mbinu ya Masoko, vyuo vyao na hata vituo vya reli.

Sent from my HTC Desire 820G PLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 
Interesting. Naamini usemacho. Wahindi watu wa ajabu sana.

Sent from my HTC Desire 820G PLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 
Safi sana kw makala nzr.. Nachowachukia wahindi Ni ubaguz tu.. Ila napenda muvi zao.. Na Ningependa kufika kwnz Kolkota (Calcuta) kabla Ya New Delhi
Ukifika Calcutta, umefika India. Ukifika New Delhi, umeimaliza India.

Sent from my HTC Desire 820G PLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 
Hiyo namba 12 ndio muhimu, huko kwingine mbwembwe......so papuchi zinaendaje bei
 
Mimi palinishinda siku ya kwanza nimetua, joto kali tena kule karibu na Pakistan hatari sana
Ubaguzi wa kishenzi
 
Hiyo ya 11 kali...yaani mtu anjitolea kukusaidia ila lugha hajuwi na wala haelewi unaongea nini? Yaani nabaki kucheka mpaka.
 
Pia si kuna hohehahe wengi sana huko.....?
 
Aisee mtaahirisha vipi masomo ya mtu kwa kitu kidogo hivyo? Accomodation hio angelipa mwezi tu akifika kule anapata ujanja na kuwa mwenyeji. Hivyo angetafuta mwenyewe accomodation bora na bei rahisi.
Unawajua wazaz mkuu me nlisupport sana dogo aende lakini wazaz wakakataa kwa kujua hiyo hela itakua ndo hivohivo kwa miaka yote..hivi wakuu pango za new delhi ndo zipo hivo kweli??
 
Unawajua wazaz mkuu me nlisupport sana dogo aende lakini wazaz wakakataa kwa kujua hiyo hela itakua ndo hivohivo kwa miaka yote..hivi wakuu pango za new delhi ndo zipo hivo kweli??
Zipo hta zaidi ya hiyo laki na 80, lakini kiuhalisia hapo alikuwa anapelekwa ktk nyumba ya laki au elfu 90 kwa mwezi, ndio maana kuna mdau kashauri dogo angefika kule angepata maujanja na hata chumba cha gharama nafuu zaidi angepata!
 
Hiyo ya 11 kali...yaani mtu anjitolea kukusaidia ila lugha hajuwi na wala haelewi unaongea nini? Yaani nabaki kucheka mpaka.
Ndio New Delhi hiyo Mkuu! Na fasta anakuomba mpige selfie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…