New Delhi: Tembea ujionee

Mkuu hapo GB ROAD nishatimba sana enzi zangu kwa miaka mitatu kufuata PAPUCHI YA KIHINDI- nilikuwa naingia namba 72 kwa jamii ya wanepal hivi, we mkuu ulikuwa na koloni room namba ngapi..tukumbushane bwa Shekhe..
Hahahahahaaaaaa hahahahahaaaaaa hahahahahaaaaaa u man killed me... Kolon
 
Delhi nilipenda;
1. Nauli kwa Ethiopian Airlines ni cheap kuliko KQ (Dar-NBO -Dar).
2. Airport yao Classy (hakuna mikelele ya matangazo ya kipuuzi).
3. Hotel/bidhaa nafuu kuliko Dubai
4. Usafiri/domestic nafuu-auto rickshaw.
 
Siku jamii ikikolapse ntaliaa ka chiz
 
Delhi nilipenda;
1. Nauli kwa Ethiopian Airlines ni cheap kuliko KQ (Dar-NBO -Dar).
2. Airport yao Classy (hakuna mikelele ya matangazo ya kipuuzi).
3. Hotel/bidhaa nafuu kuliko Dubai
4. Usafiri/domestic nafuu-auto rickshaw.
Ni kweli. Ila jamaa mitaani ni wachafu. Muhindi anaweza kupark gari pembeni ya barabara kuu ili akojoe tu.
 
Tanzania ukiwa unasukuma ndinga ka hizo kwenye foleni unaonekani maskini.
 
Tanzania ukiwa unamiliki gari ka hizo unaonekani maskini.
Ni ulimbukeni. New Delhi wazazi wa mtaa mmoja wanaweza kujipanga na kukodi Bajaj 1 tu iwapeleke na kuwarudisha watoto shule ili kupunguza makali ya school bus fees. India zipo Bajaj zinabeba abiria 10.
 
Kiwanja bei gani nina kila sababu za kuishi huko na sababu ya mwisho ni kuwa mi navita sigara 12 kwa siku nikiishi huko inamaana nitanunua 2 tu
Hakuna viwanja. Wahindi wanalala ktk viambaza vya maduka Mkuu.
 
Safi sana kw makala nzr.. Nachowachukia wahindi Ni ubaguz tu.. Ila napenda muvi zao.. Na Ningependa kufika kwnz Kolkota (Calcuta) kabla Ya New Delhi
 
Nasikia ni wabaguzi sana, kuna ripoti ya binti wa kiTanzania kupigwa na kuvuliwa nguo hadharani.
Sitaki kuhukumu kwa ile ripoti na kufanya nao kazi. Je Kuna ukweli juu ya hilo? Kama ndiyo, uliwezaje kuhimili maisha ya huko kukiwa na ubaguzi kama huo?
Ndio mkuu, ilitokea Chuo cha Bangalore,.. Ambapo mschana wa kibongo alivuliwa nguo hadharan kw kosa ambalo hakulitenda.. Yote hayo ni tabia za kibaguzi za wahindi
 
Kwenye suala la papuchi hapo nakuunga mkono kwa asilimia 200! Tena afadhali hata huko Delhi kuna sehemu unaweza kununua, sehemu nyingi sana tena miji mikubwa kuliko ya bongo hakuna papuchi ya kununua au ya kuishika mkono uisalimie😀😀. I had the longest dry season ever over there, ndipo nikatambua useja unawezekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…