New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

Our new Holy Father will be announced shortly. :yo:

the father anae waweka katika utumwa wa kifikra zaidi ya 1.2 biilion waumini...wasio ruhusiwa kufikiri zaidi ya father kupitia mapadiri.......
 
huyo papa mpya atakua ni mtoto wa ngapi wa mungu maana tunasikua kuna baadhi ya waungu wamezaa ingawa hatuambiwi ni lini alifunga ndoa au kungurumisha mashine hata katika nyumba ndogo!

utakuwa na mashetani, siyo bure! Tatizo mnapenda kuzungumza hata msiyo yafahamu.
 
Haya haya jaman tumsifu yesu kristooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
he will be known as PAPA FRANCIS
ni muagentina
 
Back
Top Bottom