New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

New pope elected, will be 266th pope to lead the catholic church.

His name will be announced shortly

source: BBC breakin news
 
intelijensia ya vatican ni noma .. hakuna mpaka sasa aliyevujisha ni nani .. kweli tumsubiri tu.. atokezee
 
hebu ilete kwenye hii context ya new pope!!ndiye anayesimama kama petro leo!!

Kama wewe ni Mkristo unadhani Yesu anaweza kuanzisha kitu chenye mwisho?

Lakini pia hata baada ya kufa Petro huu utamaduni wa kuchagua mrithi iliendelezwa na mitume hadi leo hawa makadinali!!

Acha leo tufurahie kupata kiongozi mpya shule hii tuanzishe mada mpya!!
 
Back
Top Bottom