BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,076
Pope Francesco the 1st..!! Be blessed!!
Huyo papa mpya atakua ni mtoto wa ngapi wa mungu maana tunasikua kuna baadhi ya waungu wamezaa ingawa hatuambiwi ni lini alifunga ndoa au kungurumisha mashine hata katika nyumba ndogo!
One Christ, One Church, One Pope
Francis the 1, ndio jina la kipapa?
ni wa nyumba ya katikati ... mungu ana mtoto ndio navyo amini hii hata uje na panga sibadilishi.. na mungu ni na yeye muamini si sawa na unaye muamini wewe... MUNGU ANA MTOTO NDIO NAYE NI YESU KRISTO .. AMINA.. NAJIVUNIA UKATOLIKI WANGU....Huyo papa mpya atakua ni mtoto wa ngapi wa mungu maana tunasikua kuna baadhi ya waungu wamezaa ingawa hatuambiwi ni lini alifunga ndoa au kungurumisha mashine hata katika nyumba ndogo!
Hatimaye kilichokuwa kikisubiriwa kwa hamu sana na wakatoliki kimetimia. Cardinali Bergoglio kutoka Argentina muda huu wa saa 10:13 usiku amechaguliwa rasmi. Ana umri wa miaka 76 na atatumia jina la kipapa Fransis
Ila umri wake mkubwa