New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

Bendera ya TZ sioni hakuna wazalendo huko?
 
kama tanzania ikifuata utaratibu wa vatican wa moshi mweupe kufuka katika jina la mgombea. wagombea wa tanzania atakaye pata bahati ya kufuka moshi katika jina lake atakuwa ni nani kati ya hawa: DR Slaa, Lowassa, membe, mbatia,Kabwe,lyatonga na mtikila?
 
Baada ya Moshi Mweupe kutokea huko Vatcan sasa Papa mpya achaguliwa!
BBC Breaking News
 
Cardinal Angelo scola alikua anaelekea kuwa uwezekano mkubwa
 
Huu ni mwanzo mpya kwa waumini wa roman Catholic na wakristo wote duniani kwa ujumla wao,Mungu ampe nguvu na baraka za kuliongoza kanisa Papa mpya kwa kujenga imani thabiti ya waumini kwa Mungu wao

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom