New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

Subiri mbwembwe za yule askofu msaidizi wa bukoba aliyewahi kusema kiongozi fulani wa kisiasa ni chaguo la mungu, lazima aibuke na kusema walisoma na papa na anamfahamu vizuri sana
 
amechagua jina la st. francis, angalia CNN wanaonesha live sasa anapungia na kuwasalimia waumini pale.
 
Nae umri umesonga hamalizi miaka 20 huyu Mungu atafanya kazi yake
 
new pope.jpg

n
Bergoglio is new Pope


Jorge Mario Bergoglio, archbishop of Buenos Aires, is announced as the new Pope and will be known as Pope Francis Inounced as the new Pope and will be known as Pope Francis IBBergoglio is new Pope

Jorge Mario Bergoglio, archbishop of Buenos Aires, is announced as the new Pope and will be known as Pope Francis Iergoglio is new Pope

Jorge Mario Bergoglio, archbishop of Buenos Aires, is announced as the new Pope and will be known as Pope Francis I
 
[h=1]Cardinals choose new pope, Cardinal Jorge Mario Bergoglio from Argentina, to succeed Benedict.[/h]
 
He is a great reformer

Lakini sidhani kama atakuja na mambo haya:

1. Kuruhusu mapadri kuoa
2. Kuruhusu matumizi ya kondomu
3. Kuruhusu ushoga na usagaji

Haya ndiyo mambo makuu ambayo baadhi ya wakatoliki, ikiwemo baadhi ya hata makadinali wanatamani papa ayaruhusu!

Kamwe hayataruhusiwa.
 
Ana asili ya Italy,baba yake alikuwa muitaliano aliyehamia Argentina kufanya kazi kwenye ujenzi wa reli
 
watu walitarajia pope kutoka itali,ambako ndo chimbuko la ukatoliki!lkn imekuwa tofauti!

Muitaliano huyu papa. Amezaliwa Argentina, baba yake ni mtaliano aliyehamia Argentina. Kama ambavyo mtoto wa Rwakatare akizaliwa Dar ataendelea kuwa nshomile tuu.
 
Back
Top Bottom