New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!

Wanabodi,
Bado niko hapa mjini Dodoma, nikijivinjari katika viwanja vya Bunge kwa haya na yale.

Japo mpaka sasa kitendawili cha Waziri Mkuu bado hakijatenguliwa, nimeonelea niwatajie baadhi ya majina mapya kwenye new cabinet.

1. Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka.
Huyu ndie mbunge mwenye highest profile. Asipokuwa PM then atapewa foreign. Sababu pekee ya kumrudisha Pinda inaweza kuwa ni ile ile iliyomrudisha Sumaye, cost implication na sio performance.

2. Mwingine ni Samia Suluhu Hassan.
Huyu mama ni very powerful in Zanzibar na miongoni mwa wanawake wachache wa shoka kutoka Zanzibar. Ni Mjumbe wa CC na NEC wa CCM.
Very high profile woman from Zanzibar, baada ya kuhudumu kwa miaka 10 kwenye Baraza la Wawakilishi, sasa ameingia Bunge la JMT, atapewa important portfolio kumuandaa ama kuwa rais wa Zanzibar kisha kuja bara, au kuwa VP 2015.

List inaendelea, unaweza kuongeza listi kwa mtazamo wako ila lazima utoe sababu sio kutaja taja tuu majina.
Pasco
Kwa Mama umetisha
 
Wanabodi,
Bado niko hapa mjini Dodoma, nikijivinjari katika viwanja vya Bunge kwa haya na yale.

Japo mpaka sasa kitendawili cha Waziri Mkuu bado hakijatenguliwa, nimeonelea niwatajie baadhi ya majina mapya kwenye new cabinet.

2. Mwingine ni Samia Suluhu Hassan.
Huyu mama ni very powerful in Zanzibar na miongoni mwa wanawake wachache wa shoka kutoka Zanzibar. Ni Mjumbe wa CC na NEC wa CCM.
Very high profile woman from Zanzibar, baada ya kuhudumu kwa miaka 10 kwenye Baraza la Wawakilishi, sasa ameingia Bunge la JMT, atapewa important portfolio kumuandaa ama kuwa rais wa Zanzibar kisha kuja bara, au kuwa VP 2015.

List inaendelea, unaweza kuongeza listi kwa mtazamo wako ila lazima utoe sababu sio kutaja taja tuu majina.
Pasco

Wanabodi,
Bado niko hapa mjini Dodoma, nikijivinjari katika viwanja vya Bunge kwa haya na yale.

Japo mpaka sasa kitendawili cha Waziri Mkuu bado hakijatenguliwa, nimeonelea niwatajie baadhi ya majina mapya kwenye new cabinet.

1. Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka.
Huyu ndie mbunge mwenye highest profile. Asipokuwa PM then atapewa foreign. Sababu pekee ya kumrudisha Pinda inaweza kuwa ni ile ile iliyomrudisha Sumaye, cost implication na sio performance.

2. Mwingine ni Samia Suluhu Hassan.
Huyu mama ni very powerful in Zanzibar na miongoni mwa wanawake wachache wa shoka kutoka Zanzibar. Ni Mjumbe wa CC na NEC wa CCM.
Very high profile woman from Zanzibar, baada ya kuhudumu kwa miaka 10 kwenye Baraza la Wawakilishi, sasa ameingia Bunge la JMT, atapewa important portfolio kumuandaa ama kuwa rais wa Zanzibar kisha kuja bara, au kuwa VP 2015.

List inaendelea, unaweza kuongeza listi kwa mtazamo wako ila lazima utoe sababu sio kutaja taja tuu majina.
Pasco
Huyu Jamaa ana uchu wa Madaraka
Nimehudumu kwenye media kwa miaka 30, niliwahi gombea nafasi yoyote ya uongozi hadi useme nina uchu?
kajipendekeza kwa Magufuli mpaka Kafa
Kwenye kipindi cha JPM, niliwahi gombea chochote?.
Kaanza kwa Mama bado hali ni tete
Wengi wenu mmemfahamu Mama Samia, baada ya kuwa Rais wa JMT, angalia tarehe ya bandiko hili ni la lini na nilizungumza nini kumhusu Samia!, Jee nilikuwa najipendekeza kwa Samia tangu 2010?.
P
 
Wanabodi,
Bado niko hapa mjini Dodoma, nikijivinjari katika viwanja vya Bunge kwa haya na yale.

Japo mpaka sasa kitendawili cha Waziri Mkuu bado hakijatenguliwa, nimeonelea niwatajie baadhi ya majina mapya kwenye new cabinet.

1. Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka.
Huyu ndie mbunge mwenye highest profile. Asipokuwa PM then atapewa foreign. Sababu pekee ya kumrudisha Pinda inaweza kuwa ni ile ile iliyomrudisha Sumaye, cost implication na sio performance.

2. Mwingine ni Samia Suluhu Hassan.
Huyu mama ni very powerful in Zanzibar na miongoni mwa wanawake wachache wa shoka kutoka Zanzibar. Ni Mjumbe wa CC na NEC wa CCM.
Very high profile woman from Zanzibar, baada ya kuhudumu kwa miaka 10 kwenye Baraza la Wawakilishi, sasa ameingia Bunge la JMT, atapewa important portfolio kumuandaa ama kuwa rais wa Zanzibar kisha kuja bara, au kuwa VP 2015.

List inaendelea, unaweza kuongeza listi kwa mtazamo wako ila lazima utoe sababu sio kutaja taja tuu majina.
Pasco
Hakika uandishi wa habari unautendea haki kuliko uwakili
 
Nimehudumu kwenye media kwa miaka 30, niliwahi gombea nafasi yoyote ya uongozi hadi useme nina uchu?

Kwenye kipindi cha JPM, niliwahi gombea chochote?.

Wengi wenu mmemfahamu Mama Samia, baada ya kuwa Rais wa JMT, angalia tarehe ya bandiko hili ni la lini na nilizungumza nini kumhusu Samia!, Jee nilikuwa najipendekeza kwa Samia tangu 2010?.
P
Mkuu salute kwako na heshima kwako.
 
Wanabodi,

2. Mwingine ni Samia Suluhu Hassan.
Huyu mama ni very powerful in Zanzibar na miongoni mwa wanawake wachache wa shoka kutoka Zanzibar. Ni Mjumbe wa CC na NEC wa CCM.
Very high profile woman from Zanzibar, baada ya kuhudumu kwa miaka 10 kwenye Baraza la Wawakilishi, sasa ameingia Bunge la JMT, atapewa important portfolio kumuandaa ama kuwa rais wa Zanzibar kisha kuja rais wa JMT huku bara, au kuja kuwa the 1st woman VP 2015!.
..Ssh amekuwa Rais kwa bahati.

..hakuna mtu alikuwa akifikiria kuwa Ssh atakuwa Raisi
Mkuu JokaKuu, sio kweli kuwa hakuna mtu aliyedhania Samia anaweza kuja kuwa rais wa JMT!, watu tupo na hii ni 2010!, tena wakati huo hata huo uwaziri tuu, Samia alikuwa bado!.
Hivyo nawaomba sana tuzifute hizi kauli za rais bahati!, kauli sahihi ni Samia ameupata urais wa JMT kwa kudra za Mwenyezi Mungu, hii maana yake kama ilivyokuwa kwa JPM alikuwa ndio mpango wa Mungu kwa Tanzania ile ya Magufuli, sasa Samia ndio mpango wa Mungu kwa Tanzania hii! Samia Mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa Hili, Atabarikiwa!, Taifa Litabarikiwa!. Asante Mungu kwa Samia, Mungu Mbariki Samia, Mungu Ibariki Tanzania
P
 
Mkuu JokaKuu, sio kweli kuwa hakuna mtu aliyedhania Samia anaweza kuja kuwa rais wa JMT!, watu tupo na hii ni 2010!, tena wakati huo hata huo uwaziri tuu, Samia alikuwa bado!.
Hivyo nawaomba sana tuzifute hizi kauli za rais bahati!, kauli sahihi ni Samia ameupata urais wa JMT kwa kudra za Mwenyezi Mungu, hii maana yake kama ilivyokuwa kwa JPM alikuwa ndio mpango wa Mungu kwa Tanzania ile ya Magufuli, sasa Samia ndio mpango wa Mungu kwa Tanzania hii! Samia Mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa Hili, Atabarikiwa!, Taifa Litabarikiwa!. Asante Mungu kwa Samia, Mungu Mbariki Samia, Mungu Ibariki Tanzania
P
Naamini umepandisha bandiko hili makusudi, tabiri tena maana mkeka u karibu Kutoka😃😃
 
Nimehudumu kwenye media kwa miaka 30, niliwahi gombea nafasi yoyote ya uongozi hadi useme nina uchu?

Kwenye kipindi cha JPM, niliwahi gombea chochote?.

Wengi wenu mmemfahamu Mama Samia, baada ya kuwa Rais wa JMT, angalia tarehe ya bandiko hili ni la lini na nilizungumza nini kumhusu Samia!, Jee nilikuwa najipendekeza kwa Samia tangu 2010?.
P
Mkuu Pascal una TATIZO GANI mkuu!?

Na huu uandishi makini Bado DOLA haijakuona Kuwa una KITU cha ku offer KWENYE hili Taifa!?

YAANI!!?ulikosea WAPI!?kwanini!?

Au Wana subiri Hadi mimi nishike hatamu Ndio nikuteue!!?
AISEH

Mimi sijaridhishwa na Wewe Eti Kuwa mwandishi wa kujitegemea TU!!!

So sad!
 
2. Mwingine ni Samia Suluhu Hassan.
Huyu mama ni very powerful in Zanzibar na miongoni mwa wanawake wachache wa shoka kutoka Zanzibar. Ni Mjumbe wa CC na NEC wa CCM.
Very high profile woman from Zanzibar, baada ya kuhudumu kwa miaka 10 kwenye Baraza la Wawakilishi, sasa ameingia Bunge la JMT, atapewa important portfolio kumuandaa ama kuwa rais wa Zanzibar 2020 kisha kuja rais wa JMT 2025 huku bara, au kuja kuwa the 1st woman VP 2015!.

Pasco
Tunapoelekea kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, kwa Tanzania, Mwanamke numberi uno ni Rais Samia Suluhu Hassan. Kwa vile wengi wamemjua Samia baada ya kuukwaa urais wa JMT, hivyo sio vibaya tukiwajulisha watu humu, waona mbali walianza lini kumspot Mwanamke huyu.
Hongera sana kwa wanawake wote duniani tunapokwenda kusherehekea siku ya wanawake duniani.
P
 
Tunapoelekea kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, kwa Tanzania, Mwanamke numberi uno ni Rais Samia Suluhu Hassan. Kwa vile wengi wamemjua Samia baada ya kuukwaa urais wa JMT, hivyo sio vibaya tukiwajulisha watu humu, waona mbali walianza lini kumspot Mwanamke huyu.
Hongera sana kwa wanawake wote duniani tunapokwenda kusherehekea siku ya wanawake duniani.
P
Mwenyezi Mungu atie wepesi Mungu ni mwema wakati wote
 
Mwingine ni Samia Suluhu Hassan.
Huyu mama ni very powerful in Zanzibar na miongoni mwa wanawake wachache wa shoka kutoka Zanzibar. Ni Mjumbe wa CC na NEC wa CCM.

Back in days, when Advocate mayala alivokua timamu.
Baada ya magu akili zako zilibadilika sana
 
Back
Top Bottom