The problem ni kwamba, kwa mazingira hayo ina maana tutalazimika kutumia audited finacial reports ambazo tayari nimeshataja hapo juu zinaonesha nini! Hizo dividends wanazolipwa wanahisa na zenyewe taarifa zake zipo kwenye hizo hizo audited financial reports ambazo hatuwezi kuzikwepa!
Hizi financial reports nimekuwa nikizisoma mara kwa mara... kwa mfano, 2012 to 2016 Financial Report ya Barrick Gold (Acacia ikiwa ndani) ni hii:
View attachment 910522
Nadhani unaona kama tutatumia financial reports tutakwama wapi! Hiyo inaonesha Gross Profit kwa miaka 4 mfululizo na ni mwaka mmoja tu ndipo gross profit ilifika angalau USD 5 Billion!
Kama ndivyo, tukiamua kuchukua mkondo huo, itakuwa imekula kwetu kwa 100% kwa sababu, ripoti hiyo ya Barrick ina-reflect what Acacia walichokuwa wanapata na kutulipa na kwahiyo itakuwa case closed... hatuna chetu!!
Lakini kama uchunguzi wa akina Mruma ungekuwa inclussive, ukiwahusisha na Acacia wenyewe, mosi, ndo kama nilivyosema hapo awali, Acacia wasingekuwa na grounds za kuikataa ripoti ya Mruma!
Na kama wasingekuwa na grounds za kuikataa, serikali kwa upande wake ingekuwa kwenye nafasi ya ku-discredit hizo financial records za akina Barrick kwa sababu, findings za serikali na Acacia wenyewe, zingekuwa zinaonesha udanganyifu mkubwa kwenye kiwango cha madini kwenye makinikia. Kama wote wame-confirm udanganyifu kwenye viwango vya madini, ina maana any financial reports zilizotokana na udanganyifu huo, na zenyewe credibility yake inakuwa questionable!
And remember, issue hapa haitakuwa kuiamini au kutoiamini report ya akina Mruma bali credility ya report yenyewe ambayo ndiyo zao la madai yetu! And to be honest, naogopa hizi sana hizi merger na acquisition za akina Barrick manake tusipokuwa cautious, tutashitukia tunayemdai doesn't exist!
Unaweza kuja kushitukia mwisho wa siku mmiliki mpya alinunua only assets za mdaiwa wetu ambae doesn't exist anymore and not her liabilities!