Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,350
- 4,296
Umeanzisha biashara lakini inaendelea kupata hasara kila siku, halafu unaendelea kuingiza pesa zaidi bila kubadilisha kitu — hapo unakuwa unatupa “good money after bad.”
Cha kufanya badilisha biashara au uza kwa mtu
Unafikiri ni kwanini watu wanafirisika hiyo ndio sababu kubwa.
Zingatia hilo greatmind is speaking
Cha kufanya badilisha biashara au uza kwa mtu
Unafikiri ni kwanini watu wanafirisika hiyo ndio sababu kubwa.
Zingatia hilo greatmind is speaking