Never miss zip codes/postal codes

Never miss zip codes/postal codes

Joined
Jul 20, 2013
Posts
37
Reaction score
3
Habari wanajf,samahani naomba mnieleweshe maana ya ZIP CODE/POSTAL CODE na uwa zinakuwaje maana nikifunguaga baadhi ya account online uwa wanahitaji ZIP CODE/POSTAL CODE. Leo nilikuwa najiunga na PAYPAL nikashindwa kuhitimisha zoezi la registration coz wanahitaji ZIP CODE
 
mada nzuriii me mwenyew yalinishinda ngoja tuwasubiri wataalamu wa humu
 
Hiyo haijalishi mkuu, muhimu ni kuandika Jina lako halali (kama lilivyo kwenye vitambulisho vyako) na Street Address yako. Hapo kwenye ZIP Code unaweza tumia Post Office Box yako au ata ya jirani yako..
Kama italeta usumbufu wa kutotambua ZIP code uliyoweka basi jaribu kuangalia nchi uliyochagua.

Usisahau kuweka namba yako ya simu
 
Hiyo haijalishi mkuu, muhimu ni kuandika Jina lako halali (kama lilivyo kwenye vitambulisho vyako) na Street Address yako. Hapo kwenye ZIP Code unaweza tumia Post Office Box yako au ata ya jirani yako..
Kama italeta usumbufu wa kutotambua ZIP code uliyoweka basi jaribu kuangalia nchi uliyochagua.

Usisahau kuweka namba yako ya simu

tanzania ninavyofahamu hatuna mfumo wa ZIP(zone improvement plan) code na POST(power-on-self-test) code so ishu inakuja pale nikiacha blank registration haiwezi kukamilika wanaxema zip code is required,na sisi hatuna huu mfumo. Anayejua aya mambo atusaidie maana ni shida na pia wakati wa kujisajili na PAYPAL kuna sehem wanahitaji ujaze ya STATE na apo nako bado shida coz ukichek kwenye list yao,state wameweka shortlist na sisi TANZANIA sijaona so nijaze state ipi?WATAALAMU MJE MTUSAIDIE.
 
tanzania ninavyofahamu hatuna mfumo wa ZIP(zone improvement plan) code na POST(power-on-self-test) code so ishu inakuja pale nikiacha blank registration haiwezi kukamilika wanaxema zip code is required,na sisi hatuna huu mfumo. Anayejua aya mambo atusaidie maana ni shida na pia wakati wa kujisajili na PAYPAL kuna sehem wanahitaji ujaze ya STATE na apo nako bado shida coz ukichek kwenye list yao,state wameweka shortlist na sisi TANZANIA sijaona so nijaze state ipi?WATAALAMU MJE MTUSAIDIE.

Mkuu hakikisha mwanzoni kabisa unachagua Country: Tanzania na kama wakikuuliza state jaza mkoa wako.. Ni rahisi tu.


Muhimu:
Official names
Street Address
Phone Number
Na personal details nyinginezo kama tarehe ya kuzaliwa, email, etc
Done!
Nimekuambia kwenye ZIP code andika ata P O Box it will be fine.. Ikigoma ujue utakua umekosea kuchagua nchi
 
Improvement Plan, was chosen to suggest that the mail travels more efficiently, and therefore more quickly
(zipping along), when senders use the code in the postal address. The basic
 
Nikikutanaga na hiyo kitu naandikaga "00255" na inakubali.
 
Kwa ufupi mie wakiuliza ZIP code huwa naandika 255..na registration inakwenda izuri
 
Nchi nazo zina namba na namba ya kutambua hasa katika mawasiliano ni kwa kutumia zip code ambayo mara nyingine huwa refered as country code.TZ specifically ni +255
 
Nchi nazo zina namba na namba ya kutambua hasa katika mawasiliano ni kwa kutumia zip code ambayo mara nyingine huwa refered as country code.TZ specifically ni +255

Not true man., fanya utafiti kabla ya kuteta
 
Hata mimi.nilijaza juzi ktk kujiunga na phd iligoma.na niliiingiza zaidi ya mara moja
 
tanzania ninavyofahamu hatuna mfumo wa ZIP(zone improvement plan) code na POST(power-on-self-test) code so ishu inakuja pale nikiacha blank registration haiwezi kukamilika wanaxema zip code is required,na sisi hatuna huu mfumo. Anayejua aya mambo atusaidie maana ni shida na pia wakati wa kujisajili na PAYPAL kuna sehem wanahitaji ujaze ya STATE na apo nako bado shida coz ukichek kwenye list yao,state wameweka shortlist na sisi TANZANIA sijaona so nijaze state ipi?WATAALAMU MJE MTUSAIDIE.

Umefananisha Power on Self Test na Postal codes mkuu, siyo sahihi.
 
Uelewa wangu, Zip (Zone Improvement Plan) , Postcode(Postal code)


ZIP code hili hunichanganya linapotumika. Kuna kitu kinaitwa country code mfano Tanzania ni +255, China ni +86 na Nigeria ni +234. Sasa hizi country code huwa zinatumika kama ZIP code.


Postcode , hii ni postal code hii sasa hutofautisha eneo dogo zaidi ya zip code, hizi hutumika sana na makampuni ya POSTA ya ndani katika kusambazia bidhaa zao. Hizi postcode kwa hapa Tanzania zipo na zinatofautiana kwa kila ward(kitongoji/kijiji) na ward.
Mfano: Postcode ya Dar es Salaam ni 11000, Sasa kama unakaa Sea View utatumia postcode ya Kivukoni ambayo ni 11101 .
Hizi kila nchi wanajua wanavyoweka unaona hapa kwetu tunatumia tarakimu tano (*****) , South Afrika tarakimu nne (****) nk .
Eneo linalowakilishwa na postalcode hizi linahitajika kuwa ndani ya zipcode(Country code) moja.


Panaponichanganya: Je kuna nchi zina-zipcode za ndani au huwa wanasema tu wakiwakilisha postcode. USA ina country code ya +1 ambayo mimi naitambua kama zip code, ila kuna sites zinaoneshaga kuna ZIP codes ndani ya USA, Je majimbo yao yamegawanywa kwa ZIP halafu ndiyo zikaanza postal code au vipi. Kuna nchi zingine pia vivyo hivyo japo country code yao inakuwa inajulikana.

Nimeattach file lina orodha ya postcode za Tanzania , unaweza lidownload (4mb), linapatikana pia kwenye tovuti ya tcra.

Krait, Mars Rover, smartfocus, kukudume2015, @josephzeclassic92,
 
Uelewa wangu, Zip (Zone Improvement Plan) , Postcode(Postal code)


ZIP code hili hunichanganya linapotumika. Kuna kitu kinaitwa country code mfano Tanzania ni +255, China ni +86 na Nigeria ni +234. Sasa hizi country code huwa zinatumika kama ZIP code.


Postcode , hii ni postal code hii sasa hutofautisha eneo dogo zaidi ya zip code, hizi hutumika sana na makampuni ya POSTA ya ndani katika kusambazia bidhaa zao. Hizi postcode kwa hapa Tanzania zipo na zinatofautiana kwa kila ward(kitongoji/kijiji) na ward.
Mfano: Postcode ya Dar es Salaam ni 11000, Sasa kama unakaa Sea View utatumia postcode ya Kivukoni ambayo ni 11101 .
Hizi kila nchi wanajua wanavyoweka unaona hapa kwetu tunatumia tarakimu tano (*****) , South Afrika tarakimu nne (****) nk .
Eneo linalowakilishwa na postalcode hizi linahitajika kuwa ndani ya zipcode(Country code) moja.


Panaponichanganya: Je kuna nchi zina-zipcode za ndani au huwa wanasema tu wakiwakilisha postcode. USA ina country code ya +1 ambayo mimi naitambua kama zip code, ila kuna sites zinaoneshaga kuna ZIP codes ndani ya USA, Je majimbo yao yamegawanywa kwa ZIP halafu ndiyo zikaanza postal code au vipi. Kuna nchi zingine pia vivyo hivyo japo country code yao inakuwa inajulikana.

Nimeattach file lina orodha ya postcode za Tanzania , unaweza lidownload (4mb), linapatikana pia kwenye tovuti ya tcra.

Krait, Mars Rover, smartfocus, kukudume2015, @josephzeclassic92,

shukrani sana mkuu.
 
Back
Top Bottom