Neutralization kwenye siasa - matukio mbalimbali

Neutralization kwenye siasa - matukio mbalimbali

Mapambano Yetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,133
Reaction score
2,128
Nikiwa kidato cha tatu nilijifunza kuwa "Neutralization occurs when an acid reacts with base to form salt and water only" maana yake acids na bases zinatengeza kitu ambacho kiuhalisia kinakuwa "Neutral" - water.

Kuna wakati hata ndani ya vyama vya siasa na hata serikali huamua kufanya kitu cha aina hii. Na pengine mbinu hii husaidia sana kubadili uelekeo katika jambo fulani ambalo kimsingi huwa masikioni/mioyoni mwa watu. Pengine mbinu hii inaweza pia kutumika kuwaaminisha observers kuwa kinachosemwa hakikuwa sahihi maana tayari kilichotokea sio acid au base tena bali "Neutral solution - water"
 
Kuna ' Njemba ' moja nimeiona leo ' inachungulia ' risasi alizokula ' Mwanamedani ' katika Hospitali Kuu ya ' Wanamedani ' iliyo katikati ya Kawe na Mwenge.
Acha kutafuta cheap popularity kwenye mambo ya msingi..nyama we we!
 
Najuta kuzaliwa binadamu nchini Tanzania. Bora ningezaliwa mbwa Marekani.
In US, dawg eat dawg
images.jpg
 
This time hatudanganyiki, wamemtia ulemavu Mbaba wa watu kwaajili ya sifa na matumbo yao!
Nimehuzunishwa sana na taarifa za leo,Lissu hatakuwa kama wa zamani.
Walompiga risas wanajiskiaje,wakimuona anachechemea watajihisi vipi?
Kisa masuala ya kidunia?
Screenshot_20170912-161445.png


May Allah bless Me and You
 
Nimehuzunishwa sana na taarifa za leo,Lissu hatakuwa kama wa zamani.
Walompiga risas wanajiskiaje,wakimuona anachechemea watajihisi vipi?
Kisa masuala ya kidunia?
View attachment 587110

May Allah bless Me and You
Inasikitisha na kutia simanzi sana, ila Mungu hua haendi Likizo, na kila kiumbe kilichopo duniani ni kwa mapenzi yake hivyo anajua nini cha kufanya, nimemkumbuka sana yule dereva aliyepigwa risasi na marehemu Ditopile!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Inasikitisha na kutia simanzi sana, ila Mungu hua haendi Likizo, na kila kiumbe kilichopo duniani ni kwa mapenzi yake hivyo anajua nini cha kufanya, nimemkumbuka sana yule dereva aliyepigwa risasi na marehemu Ditopile!
Sana,mzee alikufa kwa mawazo tu,japo alipata nafas ya kukaa nje ya selo ila hakuwa na amani tena.

May Allah bless Me and You
 
Halafu utamsikia jamaa akiomba aombewe, sijaelewa tumwombee kwa lipi, Ben alipotezwa, Manji movi lake bado linaendelea, Lissu ndo hivyo tena. huu usemi wa kuombewa huwa siuelewi kabisa
 
Halafu siyo wabunifu kabisa. Hata watoto wamegunduz ile danganya Toto. Sijaona hata rangi ya damu kwa yule mzee. Risasi ya kiuno mchezo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Tena Risasi tano ambazo ziko maeneo yale yale yaani mkononi moja,tumboni,kwenye miguu na kwenye nyonga halafu ziko tano.

Mgonjwa anaongea kama kawekwa charahani mdomoni.Duh hata kuongezewa damu chupa moja sijui.hiyo operation wamefanyaje.
 
Back
Top Bottom