Jana wateja wengi wa Luku walilazimika kulala gizani baada ya kushindwa kununua umeme kupitia wakala na mitandao ya simu na benki.Hali hii imesababishwa na kusuasua kwa network ya luku.
Wateja wengi wa luku wameathirika na hali hii.Tanesco hawajatoa tamko lolote mpk sasa.
Wateja wengi wa luku wameathirika na hali hii.Tanesco hawajatoa tamko lolote mpk sasa.