Netanyahu aondolewa Uwaziri Mkuu

Netanyahu aondolewa Uwaziri Mkuu

Reaction from Palestinian

"This is an internal Israeli affair. Our position has always been clear, what we want is a Palestinian state on the 1967 borders with Jerusalem as its capital," a spokesman for Palestinian President Mahmoud Abbas said.

"It is an occupation and a colonial entity, which we should resist by force to get our rights back," said a spokesman for Hamas, the Islamist group that controls Gaza.
 
Ha ha ha ha vipi kuhusu ndoto yake ya kuvishambulia vinu vya nuke vya iran huyu ndio kiongozi aliyeitia aibu ndani ya utawala wake wapiganaji wa hamas wamefanikiwa kuiteka gaza sasa mdaa huu anarudi uraiani pia hii game inachezeshwa na iran kwanza mchezo ulianzia kwa trump now umemalizikia kwa netanyau msicho kijua ni majasusi wa iran wapo kazin
Wewe hujui kitu
 
Iran na israel ni kitu kimoja yaani ndugu moja,
Wenye akili tu wataelewa

Hapo ni mabadiliko ya mtu tu
Mengine ni yale yale
 
huyu kafir naona alikua anaua Waislam wa mwisho mwisho laanatullah huyo
 
Ha ha ha ha vipi kuhusu ndoto yake ya kuvishambulia vinu vya nuke vya iran huyu ndio kiongozi aliyeitia aibu ndani ya utawala wake wapiganaji wa hamas wamefanikiwa kuiteka gaza sasa mdaa huu anarudi uraiani pia hii game inachezeshwa na iran kwanza mchezo ulianzia kwa trump now umemalizikia kwa netanyau msicho kijua ni majasusi wa iran wapo kazin
Mbona alivishambulia,au hukusikia vinu vikilipuka huko chini ya ardhi? Ulitaka mpaka uone ndege vita,wenzako wanafanya kwa technolojia
 
Back
Top Bottom