Netanyahu aondolewa Uwaziri Mkuu

Netanyahu aondolewa Uwaziri Mkuu

Uzuri wao, mtu ana badirika lakini sera zao za mashariki ya kati ziko vile vile tu!!
ni kweli kabisa kwasababu huyo bennet alipata kuwa hata waziri wa linzi wa netanyahu kama sijakosea. ila nakumbuka katika mapigano yaliyopita nliwa kusema humu ndani hizo njia zake za kutumia mgogoro wa isarael na hamasi zimesha kwisha na nafkir i was correctly in my speculation
 
Ndo maana walimwondoa mapema kwenye system kabla hajatekeleza hizo sera zake ambazo wengi hawakuziafiki
Humjui Benet wewe hapo waarabu walaani sana Naftali Bennett kuchaguliwa maana wanamjua
Screenshot_20210613-234512_Google.jpg
 
Ha ha ha ha vipi kuhusu ndoto yake ya kuvishambulia vinu vya nuke vya iran huyu ndio kiongozi aliyeitia aibu ndani ya utawala wake wapiganaji wa hamas wamefanikiwa kuiteka gaza sasa mdaa huu anarudi uraiani pia hii game inachezeshwa na iran kwanza mchezo ulianzia kwa trump now umemalizikia kwa netanyau msicho kijua ni majasusi wa iran wapo kazin
Huyu kamanda ni balaa bora Benny
Screenshot_20210613-234856_Google.jpg
 
Kwa wenzetu ni mifumo inayofanya Kazi,
Taasisi zinafanya Kazi kwa weredi bila kutegemea aliyepo Ikulu,huku kwetu Afrika nyeusi,Raisi ni kila kitu,kama alivyokuwa Jiwe

Miarabu/mizungu/miyahudi sio wenzako. Wao hawakuiti wewe mwenzao ila nyie wamatumbi kila siku 'kwa wenzetu'
 
apumzike sasa, toka niko primary jina lake nalisikia mpaka leo
Hakuna mapumziko ana kesi ambazo hazikuanza mchakato wa kimahkama kutokana na hadhi yake ya upm kwa vile kaacha ofis analazimika kukabiliana nazo mpaka kieleweke.
 
That ---I suppose --- will be the starting point for Israel to perish.

Many Westerners are fed up with Israel cunninngs,brutality etc. It is only their governments which support the barbaric zionist regime.
Are you sure the westerners are fed up with Israel ??
 
Wataifa mengi yanakaliwa na Israel kwenye nyanja za uongozi fuatilia hata aliyewahi kuwa Rais wa Iran wa NASABA na Israel "Ahamedinajab" i don't know if i spell it right
 
Back
Top Bottom