Net Pay TZS 960,000

Net Pay TZS 960,000

masaumbe

Member
Joined
May 28, 2013
Posts
42
Reaction score
11
Natanguliza hongera zangu kwa wale ambao watakuja kufanikiwa kulipwa tzs 960,000 pale tra,wakipita aptitude test na interview. Good be with you all
 
Natanguliza hongera zangu kwa wale ambao watakuja kufanikiwa kulipwa tzs 960,000 pale tra,wakipita aptitude test na interview. Good be with you all
Kwa waliosota mtaani inatosha kwa kuanzia lakini kwa wale wakongwe na walianza nanet za hivyo miaka ya 90, hawatakaa hapo...
 
kama ndio hivyo natakiwa nijiajiri sasa hiyo au ndio wanataka hawa watu wawe wezi na mifumuko ya bei ilivyo juu jamani
 
Dah sio haba jaman,hongo vp zitakuwepo?namuaminia sana dogo mmoja mtihani atafaulu lakini sasa hana refa atapata kweli?ooh God help her,na mtakaojua oral itakuwa lini mtuambie ili tujue kama ameshatemwa au la
 
Kwa wanaotoka vyuoni wataiona ni hela na si mbaya kuanza nayo, lakini kwa tuliowahi kuajiliwa zamani hiyo ni kiasi cha mboga tu!
 
Hapo bado haujakatwa,take home itakuwa ya kawaida sana.
 
Kwa TRA hata wakiniambia ifanye kazi bure mimi nitaenda tu,kule watu wanajilipa mara 20 ya huo mshahara
hili ni la ukweli kabisa, mimi hata wakinipa kazi ya kufagia ofisi zao najua nitamaliza mapema, then nianze kula dili la kusogeza sogeza documents - au hata kuwa -introduce watu wenye shida za mizigo kwa maboss najua nikirudi jioni sikosi ka 50,000/=
 
Kwa mwaka ni 11,520,000/= ukijiajiri kwa kulima vitunguu eka 4 na mahindi eka 5 unaingiza zaidi ya 16m kwa mwaka
 
Natanguliza hongera zangu kwa wale ambao watakuja kufanikiwa kulipwa tzs 960,000 pale tra,wakipita aptitude test na interview. Good be with you all

Good things shall be upon us all,only if we pray and rely on God for everything we're looking for! God be with you.
 
Back
Top Bottom