lingamba lidodi
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 964
- 1,137
Ktk Biblia kitabu cha mwanzo,2:17,tunaona Mungu akimwambia Adam,Matunda ya Miti yote ale isipokuwa mtu wa ujuzi wa mema na mabaya. Mwanzo3:9-12 tunaona Mungu anamtafuta Adam ktk bustani akimwita na kuuliza uko wapi?
Hapa tunajifunza kuwa mtu mwovu hujificha hana urafiki wa kudumu. Viongozi wanaoteza wananchi wao hutembea nakuishi kwa ulinzi mkali kwakuwa wanajua kwa uovu wao wananchi hawawapendi.
Mungu anamuuliza Adam umekula wewe Matunda ya mti liokwambia usile? KOSA ALILOFANYA ADAM,KUSEMA HUYU MWANAMKE ULIYENIPA. ANGESEMA NISAMEHE NIMEKOSA,HASIRA ZA MUNGU ZINGEYEYUKA TUSINGEKUWA KWENYE LAANA TULIYOMO. USHAURI WANGU KWA RAIS WANGU.
Kwanza akubali kuwa amewakosea wananchi wake kwa aina hii ya uongozi anaowaongoza. Pili ajitokeze hadharani kama anavyojitokeza kwenye uzinduzi na mambo mengine, AWAOMBE MSAMAHA WANANCHI WAKE. Kufanya hivyo siyo kujidharirisha Bali kutafuta msamaha na radhi kwa waliomtuma kazi.
Kwa kufanya hivyo hasira na chuki ya watanzania zitayeyuka kama theruji mbele ya jua,na kujifanyia HISTORIA siyo ndani ya NCHI tu Bali ulimwenguni kote. Kufanya hivyo atatengeneza UPYA taifa lenye umoja na mshikamano mpya. Kufanya hivyo kutamfurahisha Mungu pia NA HII NDIYO TOBA.yapo mazuri anayoyafanya,lakini anayafanya peke yake, nani wa kumsaidia ikiwa umoja na mshikamano haupo?
Akishafanya hivyo arekebishe Sheria kandamizi,vyama SIASA avipe Uhuru wao kwa mujibu wa katiba. Bunge,mahakama visiingiliwe nk. HAKIKA AKIFANYA HAYA 2020 HANA MPINZANI,NA MAENDELEO YA NCHI HII ATAYAKIMBIZA KWENDA MBELE KWA KASI YA SAUTI.
KISHA ANITAFUTE ANIPONGEZE HATA KWA NIKUPA MKONO TU. Kwa SIRAHA ya kuomba msamaha,hata hao wazungu wanaotaka kutuletea gharika kama Libya na kwingineko watayeyuka, watauona umoja wetu ukiwazomea na tuwazomea kweli NA mungu atakuwa upande wetu. Kuna faida gani kushupaza shingo kama Adamu afu taifa liangamie?
Hapa tunajifunza kuwa mtu mwovu hujificha hana urafiki wa kudumu. Viongozi wanaoteza wananchi wao hutembea nakuishi kwa ulinzi mkali kwakuwa wanajua kwa uovu wao wananchi hawawapendi.
Mungu anamuuliza Adam umekula wewe Matunda ya mti liokwambia usile? KOSA ALILOFANYA ADAM,KUSEMA HUYU MWANAMKE ULIYENIPA. ANGESEMA NISAMEHE NIMEKOSA,HASIRA ZA MUNGU ZINGEYEYUKA TUSINGEKUWA KWENYE LAANA TULIYOMO. USHAURI WANGU KWA RAIS WANGU.
Kwanza akubali kuwa amewakosea wananchi wake kwa aina hii ya uongozi anaowaongoza. Pili ajitokeze hadharani kama anavyojitokeza kwenye uzinduzi na mambo mengine, AWAOMBE MSAMAHA WANANCHI WAKE. Kufanya hivyo siyo kujidharirisha Bali kutafuta msamaha na radhi kwa waliomtuma kazi.
Kwa kufanya hivyo hasira na chuki ya watanzania zitayeyuka kama theruji mbele ya jua,na kujifanyia HISTORIA siyo ndani ya NCHI tu Bali ulimwenguni kote. Kufanya hivyo atatengeneza UPYA taifa lenye umoja na mshikamano mpya. Kufanya hivyo kutamfurahisha Mungu pia NA HII NDIYO TOBA.yapo mazuri anayoyafanya,lakini anayafanya peke yake, nani wa kumsaidia ikiwa umoja na mshikamano haupo?
Akishafanya hivyo arekebishe Sheria kandamizi,vyama SIASA avipe Uhuru wao kwa mujibu wa katiba. Bunge,mahakama visiingiliwe nk. HAKIKA AKIFANYA HAYA 2020 HANA MPINZANI,NA MAENDELEO YA NCHI HII ATAYAKIMBIZA KWENDA MBELE KWA KASI YA SAUTI.
KISHA ANITAFUTE ANIPONGEZE HATA KWA NIKUPA MKONO TU. Kwa SIRAHA ya kuomba msamaha,hata hao wazungu wanaotaka kutuletea gharika kama Libya na kwingineko watayeyuka, watauona umoja wetu ukiwazomea na tuwazomea kweli NA mungu atakuwa upande wetu. Kuna faida gani kushupaza shingo kama Adamu afu taifa liangamie?