sindano butu
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 503
- 157
imekua desturi ya Tanzania,ya kwamba kiongozi yeyote(especially MBUNGE) kuitwa muheshimiwa. MI nnavyoona kiongozi yupo pale kuwafanyia kazi wananchi. kiongozi - sisi TU MLIPE MSHAHARA;atuibie;atudanganye; atu tapeli, halafu than tumuite MUHESHIMIWA! mi sijui naona watanzania tumesahau kiswahili au LABDA NI MBINU ya viongozi wetu KUJISAFISHA? au wewe mdau unalionaje hili??