Neno 'mtukufu' badala ya mheshimiwa

Neno 'mtukufu' badala ya mheshimiwa

Mara ya kwanza nilipomsikia Lissu akilitumia kumtaja Mh. Rais, nilijua ni panic za kutoka mahabusu. Ila sasa haka kamchezo kanaendelea.

My concerns ni kuwa Tanzania hutajawahi kupata Rais aliyejiita mtukufu. Tulizoea kusikia hilo neno kwa jirani zetu wakenya enzi za Daniel na tuliona siyo sawa.

Kujiita mtukufu ni kujikweza kwa hali ya juu. Hili neno likiachwa lishamiri huko mbeleni litageuzwa kuleta picha mbaya kwa Mh Rais.

Wito wangu mamlaka husika zisiache hili jambo likue.

Nawasilisha!

Utukufu is equivalent to udikteta. Lissu is just smart.
 
Mbona hata Alhaji Ali Hassan Mwinyi alikuwa anaitwa, Mtukufu Rais. Inaonekana uliyeanzisha hii topiki ulikuwa hujazaliwa miaka ya 80 na 90
 
Neno mtukufu liliisha utawala wa Mkapa. Yeye ndio alikataa kuitwa mtukufu. Nyerere na Mwinyi wote walikuwa watukufu. Mleta mada achakukimbilia kuandika vitu usivyovijua.
Nyerere alikataa utukufu akaleta Ndugu-walipotupa azimio la Arusha na Ndugu ikafa kifo cha mende.
 
Mbona hujapinga bunge letu kuitwa "tukufu" au bunge lina utukufu hivyo linastahili kuitwa tukufu?
 
Mara ya kwanza nilipomsikia Lissu akilitumia kumtaja Mh. Rais, nilijua ni panic za kutoka mahabusu. Ila sasa haka kamchezo kanaendelea.

My concerns ni kuwa Tanzania hutajawahi kupata Rais aliyejiita mtukufu. Tulizoea kusikia hilo neno kwa jirani zetu wakenya enzi za Daniel na tuliona siyo sawa.

Kujiita mtukufu ni kujikweza kwa hali ya juu. Hili neno likiachwa lishamiri huko mbeleni litageuzwa kuleta picha mbaya kwa Mh Rais.

Wito wangu mamlaka husika zisiache hili jambo likue.

Nawasilisha!
Sasa ni kama umeanza ka umbea,we linakuwashia nini?
 
Mara ya kwanza nilipomsikia Lissu akilitumia kumtaja Mh. Rais, nilijua ni panic za kutoka mahabusu. Ila sasa haka kamchezo kanaendelea.

My concerns ni kuwa Tanzania hutajawahi kupata Rais aliyejiita mtukufu. Tulizoea kusikia hilo neno kwa jirani zetu wakenya enzi za Daniel na tuliona siyo sawa.

Kujiita mtukufu ni kujikweza kwa hali ya juu. Hili neno likiachwa lishamiri huko mbeleni litageuzwa kuleta picha mbaya kwa Mh Rais.

Wito wangu mamlaka husika zisiache hili jambo likue.

Nawasilisha!
Kwa hivyo hoja yako ni kuwa Mh Rais hana utukufu wowote?
 
Mkuu Nyerere nadhani kuna kipindi alikua anaitwa mtukufu. Nenda kaangalie jiwe la msingi la terminal 2 pale airport...utaona wameandika "jengo hili limezinduliwa na mtukufu rais".
Sasa kama hamtaki "mtukufu" basi " mtukutu".
 
Mi nasubiri tu marufukuvya hilo neno mtukufu,ikitolewa tuu,silitumii tenaaa mana mil.7 sinaga
 
Naamini hata Mh.Rais halipendi ndo maana hajalitumia kwenye picha rasmi ya rais.
Jamani kama hamjajua lengo la lissu ni kureflect lile jina ambalo alimwita Rais kwakutumia jina MTUKUFU,maana yake ni kwamba akisema MTUKUFU basi moja kwa moja unakumbuka lile jina lililosababisha akamatwe.Kama IQ yako ni ndogo utapata shida sana katika dunia hii na kila siku utakua unasubiria utafuniwe halafu wewe umeze tu
 
Hoja yangu hapa ni kwa nini wapinzani ndo wanaongoza kwa kumuita Magufuli 'mtukufu'? Ni jambo gani wanalipika akilini mwa watu wa kawaida?

Anaamini kuwa yeye ni mtakatifu hakosolewi na hakosei ukijaribu kumkosoa hakuelewi na utaonekana wewe unampinga tu, unapingana na maamuzi/matamko yake huku wengine wakiamini kuwa mtukufu au mtakatifu ni mmoja tu, Mungu muumbaji!!

Kwa hiyo kwa tabia na matendo yake huku yakishangiliwa na wafuasi wake, akapachikwa jina la kejeli la "mtukufu/mtakatifu" huku akiwa hana sifa hiyo japo wengine tunaamini kuwa anajidhania kuwa anayo!!
 
taratibu mkuu...si unajua hela yenyewe mtaani siku hizi ya kutafuta kwa tochi. Tunaweza kosa 7M ya kuja kukuopoa sentro
Haahaa mimi pia wananiitaga mtukufu,sasa ndio nasema,wale ambao hawataki niitwe mtukufu basi waniite mtukutu.
Mil.7 sina na kosa pia sina
 
Mara ya kwanza nilipomsikia Lissu akilitumia kumtaja Mh. Rais, nilijua ni panic za kutoka mahabusu. Ila sasa haka kamchezo kanaendelea.

My concerns ni kuwa Tanzania hutajawahi kupata Rais aliyejiita mtukufu. Tulizoea kusikia hilo neno kwa jirani zetu wakenya enzi za Daniel na tuliona siyo sawa.

Kujiita mtukufu ni kujikweza kwa hali ya juu. Hili neno likiachwa lishamiri huko mbeleni litageuzwa kuleta picha mbaya kwa Mh Rais.

Wito wangu mamlaka husika zisiache hili jambo likue.

Nawasilisha!
Mwinyi alijiita mtukufu kipindi chake chote mkuu.......
 
Back
Top Bottom