Neno 'mtukufu' badala ya mheshimiwa

Neno 'mtukufu' badala ya mheshimiwa

Kwa nini uhangaike kuvumbua vumbua vimaneno? Kwa nini usitumie salutation zilizokubalika?
Hapana, sivumbui ila ni maneno yaliyotamkwa hivi karibuni. Kama mtu amesema asijaribiwe, huyo mtu hastahili kuitwa mtukufu? Maana asiyejaribiwa ni Mungu pekee, naye ndiye mtukufu!
 
Hapana, sivumbui ila ni maneno yaliyotamkwa hivi karibuni. Kama mtu amesema asijaribiwe, huyo mtu hastahili kuitwa mtukufu? Maana asiyejaribiwa ni Mungu pekee, naye ndiye mtukufu!
Haya buana, mimi nilichokifanya ni kujaribu kuona mind technique inayochezwa na wapinzani. Hope wahusike watawapiga ban kutumia neno hilo na mengine ya kufanana nayo.
 
kama aliweza kumuita Dk Sheni, wakitoka malaika anafuta yeye, sasa Mganga wetu atakataa kuitwa mtukufu kweli?
 
Haya buana, mimi nilichokifanya ni kujaribu kuona mind technique inayochezwa na wapinzani. Hope wahusike watawapiga ban kutumia neno hilo na mengine ya kufanana nayo.
Nashukuru kwa kugundua hilo la utukufu. Lakini lile la kuzuia kujaribiwa sio la wapinzani, ni la mwenyewe mzuiaji!
 
Mkuu Nyerere nadhani kuna kipindi alikua anaitwa mtukufu. Nenda kaangalie jiwe la msingi la terminal 2 pale airport...utaona wameandika "jengo hili limezinduliwa na mtukufu rais".
Neno mtukufu liliisha utawala wa Mkapa. Yeye ndio alikataa kuitwa mtukufu. Nyerere na Mwinyi wote walikuwa watukufu. Mleta mada achakukimbilia kuandika vitu usivyovijua.
 
Neno mtukufu liliisha utawala wa Mkapa. Yeye ndio alikataa kuitwa mtukufu. Nyerere na Mwinyi wote walikuwa watukufu. Mleta mada achakukimbilia kuandika vitu usivyovijua.
Kama lilisha utawala wa Mkapa, limerudi vipi utawala wa Magufuli?
 
Mi nafikiri kumuita mtukufu inaweza kuwa sawa..maana alisema mwenyewe kuwa hajaribiwi na wala hatajaribiwa....na Mungu tuna muita Mtukufu kwa kuwa hajaribiwi na hakuna wa kumjaribu vinginevyo adhabu I juu yake.
 
Mtoa mada usiwe kilaza
Anzeni kukataa bunge lisiitwe "bunge tukufu"
Waambie wazee wa ukuta watoe hoja hayo maneno yasiwe yanatamkwa bungeni
Kwani sehemu tukufu ni nyumba za ibada.
 
Mi nnavyomkubari mr prezident,,,,sioni jina la kumuita zaidi YA mtukufu Raisi ,,,,sa itakuwaje kosa wakati ni sifa nzuri kwa unaemkubari kumuita Mtukufu,,au neno mtukufu ni tusi katika Kamusi
 
Mungu tu hatakiwi kujaribiwa lakini kwa binadamu kujaribiwa ni kawaida,kwahiyo
binadamu asichukie kujaribiwa
Sasa una maoni gani kuhusu mwanadamu anayekataza kujaribiwa, na kuapa kwamba hatajaribiwa kamwe?
 
Back
Top Bottom