Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,093
Kuna mambo mengine huwa ni uamuzi tu. Kufanikiwa kwenye jambo lolote lile maishani kunatokana na namna mtu anavyolitazama hilo jambo. Ni suala la kukuza picha tu. Watu wafanye mambo huku wakiwa na picha kubwa na yenye ubora kichwani mwao.
Kwa hapa, Chilla na wenzio (management) mlichora picha kubwa. Itengenezeni vizuri hiyo picha sasa tuone matokeo yake..
Mimi napongeza hatua hii. Wewe je?
Kwa hapa, Chilla na wenzio (management) mlichora picha kubwa. Itengenezeni vizuri hiyo picha sasa tuone matokeo yake..
Mimi napongeza hatua hii. Wewe je?
Last edited by a moderator: