Amepumzika akingojea siku ya ujio wa mwokozi ...hakika makaburi yatawaachia wote na kwa pamoja tutamlaki Bwana mawinguni...Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake libarikiwe..pole ndg yangu mchana jr.
Tutaendelea kumkumbuka katika maombi. Pole toka kwa ndugu wote unaojua wanakufahamu upande huu. Bado wanatafakari ile post yako ya mwisho ya Meditation nadhani na wewe itakusaidia kipindi hiki.