Nimesikia amefariki leo jioni, kama ni kweli poleni wafiwa.... RIP Gwajima
Nimesikia amefariki leo jioni, kama ni kweli poleni wafiwa.... RIP Gwajima
Baada ya kushuhudia sare nyingi za jesh alipokuwa anahojiwa alisema" majeshi,majeshi,majeshi' baada ya hapo akazimia,kakimbizwa TMJ
Kama umeokoka huwezi ogopa kifo, sema sasa waliobaki ndio watataka kujua kifo chako. Gwajima kufa kizembe hivyo nchi hii itakuwa ndogo.Nimesikia amefariki leo jioni, kama ni kweli poleni wafiwa.... RIP Gwajima
Unasema kweli........?......
Majeshi yapi sasa ya malaika au misukule au Polisi....
Hawa wachungaji bhana wanamisemo mingi majukwaani
Kazi ya Pengo bwana. Pengo acha kuloga, utaloga wangapi. Kama ni escrow pengo umepiga kupitia kwa kilaini ndiyo maana ume umut. Vyeo vya duniani havita kupeleka mbinguni. Pengo wewe ni mchawi na mnafiki hata maaskofu wenzio wa katoliki wanalijua hilo.
Kazi ya Pengo bwana. Pengo acha kuloga, utaloga wangapi. Kama ni escrow pengo umepiga kupitia kwa kilaini ndiyo maana ume umut. Vyeo vya duniani havita kupeleka mbinguni. Pengo wewe ni mchawi na mnafiki hata maaskofu wenzio wa katoliki wanalijua hilo.
ana mpango huoHajafariki
Kazi ya Pengo bwana. Pengo acha kuloga, utaloga wangapi. Kama ni escrow pengo umepiga kupitia kwa kilaini ndiyo maana ume umut. Vyeo vya duniani havita kupeleka mbinguni. Pengo wewe ni mchawi na mnafiki hata maaskofu wenzio wa katoliki wanalijua hilo.
Kwa mujibu wa reporter wetu.
Na wewe tutakuombea ....tu .
Sasa Hao Malaika Gwajima aliowatuma wakampige Pengo ...hawakurudi ?
Unafikiri Maaskofu wetu wanajipa wenyewe Kama Huyo ....wanafunzwa Zaidi ya miaka 20 baada ya kuwa mapadri kabla ya kufikiriwa kupewa Uaskofu na miaka 10 Baada ya Uaskofu kabla ya kufikiria kuwapa ukardinali ...
Ni watu ambao wana uwezo wa kufanya ibada hata ya Siku 40 kujitafajari bila kuongea na mtu ....kabla ya kukata Shauri la kutumikia Mungu ...
Kazi ya Pengo bwana. Pengo acha kuloga, utaloga wangapi. Kama ni escrow pengo umepiga kupitia kwa kilaini ndiyo maana ume umut. Vyeo vya duniani havita kupeleka mbinguni. Pengo wewe ni mchawi na mnafiki hata maaskofu wenzio wa katoliki wanalijua hilo.