Neno la busara: Watanzania tujikite katika kutafuta UGALI hasa wenye familia,tuache kuwa wanaha

emmanuel mhecha

JF-Expert Member
Jun 21, 2015
933
542
Wandugu kwa mtizamo wangu gharama ya kutafuta Ugali ni Ndogo sana kuliko gharama ya kutafuta haki,ukiwa mwenye familia inayokutegemea zingatia kutafuta Ugali wa familia vinginevyo familia yako ndio itasumbuka na siyo jamii,jamii itakuwa na story tu,
 
Wandugu kwa mtizamo wangu gharama ya kutafuta Ugali ni Ndogo sana kuliko gharama ya kutafuta haki,ukiwa mwenye familia inayokutegemea zingatia kutafuta Ugali wa familia vinginevyo familia yako ndio itasumbuka na siyo jamii,jamii itakuwa na story tu,
Acha kufundisha watu uoga, kuna mtu yoyote alikujia kukuomba ugali wa wanae?
 
Back
Top Bottom