mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
- Kunatofauti ya Maarifa ya Bibilia (Bible knowledge) na Kujua kiini cha maandiko unayoyasoma.
- Mafarisayo,Masadukayo,waandishi na wanasheria walikuwa wamebobea katika Maarifa ya Maandiko lkn hwaelewi kuwa maandiko hayo yote yanamuelezea wanayempinga (Yesu).
-Lkn pia Shetani ni mbobezi aliyetukuka katika Bible knowledge.
Kama utasoma maandiko, ukawa msemaji mzuri wa maandiko lkn maandiko hayo yakayaacha maisha yako bila kubadilika kumbuka utakuwa katika hadhi zilezile za Maarifa ya Bibilia.
Asubuhi ya Leo tunapaswa Kumuona Mwokozi wa Ulimwengu katika kila kurasa ya maandiko matakatifu, na pia Tumruhusu kupitia maneno hayo abadilishe maisha yetu tupate kutembea katika upya wa Uzima.
Bible Knowledge is not enough. Satan has A in bible knowledge.
Yohana 5:39-40
- Mafarisayo,Masadukayo,waandishi na wanasheria walikuwa wamebobea katika Maarifa ya Maandiko lkn hwaelewi kuwa maandiko hayo yote yanamuelezea wanayempinga (Yesu).
-Lkn pia Shetani ni mbobezi aliyetukuka katika Bible knowledge.
Kama utasoma maandiko, ukawa msemaji mzuri wa maandiko lkn maandiko hayo yakayaacha maisha yako bila kubadilika kumbuka utakuwa katika hadhi zilezile za Maarifa ya Bibilia.
Asubuhi ya Leo tunapaswa Kumuona Mwokozi wa Ulimwengu katika kila kurasa ya maandiko matakatifu, na pia Tumruhusu kupitia maneno hayo abadilishe maisha yetu tupate kutembea katika upya wa Uzima.
Bible Knowledge is not enough. Satan has A in bible knowledge.
Yohana 5:39-40