Neno Damwani

Neno Damwani

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,213
Reaction score
18,465
Huu ni msemo unaokuja kwa kasi apa mjini au naweza kusema ndo habari ya mujini kwa sasa, Founder wa jina hilo ni mwanadada riyama ally(muigizaji) na maana halisi ya neno hilo ni rafiki/ shoga/best wa kike tu, hili jina ni maalumu kwa mademu tu, ndo msimu ulioibuka kwa sasa, so girls catch it up Heaven on Earth Dinazarde
 
Last edited by a moderator:
Huu ni msemo unaokuja kwa kasi apa mjini au naweza kusema ndo habari ya mujini kwa sasa, Founder wa jina hilo ni mwanadada riyama ally(muigizaji) na maana halisi ya neno hilo ni rafiki/ shoga/best wa kike tu, hili jina ni maalumu kwa mademu tu, ndo msimu ulioibuka kwa sasa, so girls catch it up Heaven on Earth Dinazarde

asante kwa kutufungua damwani
 
Last edited by a moderator:
Hayaa nitaanza Kesho kusemaa hivyo,lakin mpaka tuliozeeee
 
maana yake jamani mwenyewe alilitolea maana baada ya watu kuwa wanamuulizia sana maana yake
 
Onesmo Sigara wa BAKITA analifahamu hilo neno
 
Back
Top Bottom